Mlipuko Tabata waua watatu

Mlipuko Tabata waua watatu

Elimu ya usalama kazini bado sana TZ. Osha wamekaa tu maofisini
Hawa viumbe wanaitwa OSHA nimeshawafuata kuja kufanya inspection kwenye ofisi yangu hawafiki wanasubiria tukio litokee waje wachukue hongo.kwanza wamenikwamisha kupata leseni yangu ya mwaka 2014 hawataki kufika ni pesa tu wanataka bila kufika site
 
Hawa viumbe wanaitwa OSHA nimeshawafuata kuja kufanya inspection kwenye ofisi yangu hawafiki wanasubiria tukio litokee waje wachukue hongo.kwanza wamenikwamisha kupata leseni yangu ya mwaka 2014 hawataki kufika ni pesa tu wanataka bila kufika site

Dawa ni kuwategea wala rushwa wakubwa TAKUKURU
 
Asante kwa ufafanuzi mkuu, hivyo yawezekana utaratibu huo haukufuatwa?
Mkuu lile halikuwa limeoshwa na nawezekana wakati wanachomea walikuwa hawajafungua mifuniko kuruhusu hewa kutoka hasa ukitilia maanani lilikuwa na mafuta na tena kama ni petrol basi walikuwa kama watu wanaolipua bomu la nyuklia. Yaani tenki hata kama ni la gari ndogo ukianza kulichomea tu bila kuliosha kwa maji na sabuni huwa linalipuka na linaweza kukurusha mbali na ukapoteza maisha. Nimesoma story yake wanasema wakati fundi anachomea juu kulikuwa na mtu nadhani alikuwa anafungua mifuniko sasa kabla hajafungua fundi chini akaanza kuchomea na hapo ndipo akalipua bomu la nyuklia!
 
Mkuu lile halikuwa limeoshwa na nawezekana wakati wanachomea walikuwa hawajafungua mifuniko kuruhusu hewa kutoka hasa ukitilia maanani lilikuwa na mafuta na tena kama ni petrol basi walikuwa kama watu wanaolipua bomu la nyuklia. Yaani tenki hata kama ni la gari ndogo ukianza kulichomea tu bila kuliosha kwa maji na sabuni huwa linalipuka na linaweza kukurusha mbali na ukapoteza maisha. Nimesoma story yake wanasema wakati fundi anachomea juu kulikuwa na mtu nadhani alikuwa anafungua mifuniko sasa kabla hajafungua fundi chini akaanza kuchomea na hapo ndipo akalipua bomu la nyuklia!
Ebanaee, huyo jamaa si atakuwa pengine alitupwa huko kariakoo, segerea au hata sinza! Petrol si mchezo, tuone tu ikipandishwa bei na kushushwa na EWURA, matumizi yakikosewa …; Vile vijamaa vinavyo kimbia na tanker vinanyonya mafuta (Diesel/Petrol) navihurumia sana. Mungu awape uvumilivu ndugu wa wafiwa!
 
OSHA ndio wanaozuwia vifo?
Tunasoma ktk vitabu vya mungu kuwa hakuna ajuaye siku wala saa.
Sasa namshangaa mtu anayemtegemea osha azuwie vifo.

OSHA hawazuii, ila ikiwa ni mamlaka ya kuangalia usalama a wafanyakazi viwandani nimuhimu sana kwao....
hata mimi namshangaa anaejua kazi ya osha lakini anataka izue vifo teh teh teh....
 
Back
Top Bottom