Mlipuko Tabata waua watatu

Mlipuko Tabata waua watatu

Kila kitu kinakwenda shagala bagala look at this!poleni sana wahusika wa kadhia hii!
 
Mungu awape nguvu walopateza ndugu zao.
 
Kweli mkuu OSHA sielewi kazi yao, kuna kazi zinafanywa bila usalama hata kidogo
huo ni mfano tu japo sio hapa tz.
Huyu alikua pale mbele ya Salender kama unatoka mjini. Wamekata mikoko waweke bango. Wanamazingira tumesha wa maind!
 
kaangalie picha ya bibi yako ili uote usiku mkuu,,we si unapenda picha
Duuuu?mkuu ungemjibu tu kwa ustarabu nadhani angekuelewa!!Kulikuwa hakuna haja ya kumwambia akaangalie picha ya bibi yake!!!
 
Huyu alikua pale mbele ya Salender kama unatoka mjini. Wamekata mikoko waweke bango. Wanamazingira tumesha wa maind!

Mkuu nliogopa nisiulizwe ni wapi kama tunajua wengi huu ndo ukweli Tanzania tuko nyuma kwa kila kitu inasikitisha sana kuwa na wasomi wanasiasa This is fake country in the world.
 
Poleni sana waliopoteza ndugu zao!Binafsi ni muhanga pia wa ajali ya namna hii!Mwaka jana nilimpoteza ndugu yangu ambaye alilipukiwa na tank wakati anachomelea(welding),Nadhani vyuo vinavyofundisha hizo stadi za kazi,mfano VETA na vyuo vingine vya ufundi wahakikishe wanatoa pia mafunzo ya namna ya kufanya kazi kwa usalama,na kujikinga na majanga!

Roho za marehemu zipumzike mahali pema
 
A huge explosion has been heard
around Tabata in Dar es Salaam.
We saw black smoke rising up in
the air from nearby Tabata Oilcom.
My office door felt like being ripped
off by the massive gigantic bang.
So far we cannot confirm what
happened, lets hope the security
agencies provide an update on this.
......................................Update on the Tabata Dar es Salaam
explosion an hour ago. Three welders
have lost their lives instantly while
welding a tanker. The tanker was
being welded at Ally Shum Co. Ltd ,
Tabata
, Dar es Salaam.

...nakumbuka miaka 90's kulishaga tokea mlipuko maeneo hayohayo ya Tabata relini, ilipo OilCom, na kua watu kadhaa waliokuwa wanachomelea TANK LA MAFUTA, wakati huo kituo cha mafuta cha oilcom kilikuwa bado hakijajengwa. Inabidi wahusika wafuatilie kama ni kampuni hilehile au ni nyingine....
 
Mungu aendelee kututetea makazini mwetu

aaahh... Bujibuji, unaniangusha bhana, Mungu hatutetei anatulinda mkuu, kutetea ni kama; kwa mfano boss anataka kuku-fire halafu Mungu aanze kukuombea msamaha kwa boss lol.

Habari inasikitisha sana, Ingawa si rahisi kumaliza kabisa matukio kama haya kwa sababu ni lazima watu wafe anyway, tunaweza kuyatumia kujenga tabia ya kuchukua tahadhari kwa kila jambo na hasa yale yanayohusisha taaluma, ili tufe kwa uzee na sio uzembe kwa sababu ni lazima tufe anyway.
 
Mafundi welding wote. Jihadharini na kuchomea ma tank. Toka nakua na akili,watu wengi wamekufa wakichomelea ma tank ya petrol,diesel au gas. Jiangalieni tafadhali.

Mkuu, Sio hayo tu hata matenki ya magari ya maji taka ni hatari sana. Nakumbuka tukio la welder aliyelipukiwa lilioneshwa ITV kama 2000 mwanzoni. Ni hatari sana maana tangu niko msingi matukio haya yanatokea! Hawajifunzi!!!?
 
There is no urgent job that can not be done safely.
Remember.. SAFETY FIRST
 
Haya majanga sijui yataendelea mpaka lini!
Tunashindwa hata kujifunza kitu!
Ila ni faida ya serikali legelege ya jk!
 
Back
Top Bottom