ayaah lema alitia togwa nchi kwa mara ya pili mtume siasa tupu kaharibu anadai wanasiasa mama yangu kainanika ccm kazuiwa he wamekata
Kwa hiyo.....? Unataka bwana wa kisomali?
Sio moto wa hotuba, bali wameona ni upuuzi kuingiza siasa kila sehemu.
Sio moto wa hotuba, bali wameona ni upuuzi kuingiza siasa kila sehemu.
Itakuwa ni order kutoka juu!. Lema anahesabika kuwa tishio la amani kila akifika tuu mahali kwenye mikusanyiko ya watu!. Wasimkatisha, angeweza kurelate hilo tukio na kwa kuisingizia serikali ya CCM kushindwa kutimiza wajibu wake wa ulinzi na usalama wa raia na mali zao!, hivyo kuiponza CCM ambayo inapendwa sana Arusha na Moshi, ipunguzwe kupendwa!.Wakuu ghafla Mbunge wa Arusha akiongea ametoweka hewani na sasa nyimbo zinapigwa nani mwenye taarifa za tukio hili toka eneno la tukio?Wameogopa maoni yake?
huku tukiendelea kutafakari tukio la leo ni huzuni sana lakini watanzania tusahau kuwa Tembo wetu wanazidi kuhangamia kwa kukosa watu wa kuwalinda na pia TWIGA wetu wana safirishwa.Matukio haya yote ikiwemo swala la matokeo ya
kidato cha nne kutangazwa na Mh Lukuvi kuwa
tume inashauri yafutwe na hili la Leo la Mlipuko wa
Bomu kwenye kanisa la Katoliki Parokia ya Urafiki
Olasiti mkoani Arusha ni zengwe la kutaka
kuwaondoa watanzania katika ukweli juu ya hotuba iliyotolewa wiki iliyopita na Kambi ya Upinzani
Bungeni juu ya Ujangili uliokisiri humu nchini na
kuhusishwa na Viongozi wa ngazi za juu
Serikalini,,,,,,,
Bado tunasisitiza kuwa Kinanaaaa, Weka Mbali na Tembo
Leo Lema kachemka, sikutegemea angekuwa na jazba kiasi hicho. Huwezi ukatoa conclusion kirahisi kiasi hicho kwenye public.
BAADA YA KUJA UISLAM NA UKRISTO -- SIKU HIZI HAKUNA :
wapare, wamakua, wahaya, wasukuma nk. - - - NA VIPI UKIJA KUSIKIA KWAMBA CHANZO CHA MLIPUKO NI HITILAFU TU YA UMEME? ..... #MDINI - Ni yule anayeanza kuuzungumzia.... shame on You