Izz
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 750
- 318
Tuwaachie vyombo vya dola/JWTZ vinavyohusika na uchunguzi wa maswala ya milipuko wafanye kazi yao kwa kuzingatia weledi na maadili ya kazi zao ili tupate mwarobaini wa hii milipuko ya kila kukicha!
Angalizo kwa wataalam walioko field wakiendelea na uchunguzi wao, ni vema wasikubali hata kidogo kazi yao kuingiliwa na wanasiasa!
Mkikubali kuingiliwa na wanasiasa ni dhahiri haya mambo ya milipuko yataendelea na Taifa kuendelea kupoteza nguvu kazi!
Angalizo kwa wataalam walioko field wakiendelea na uchunguzi wao, ni vema wasikubali hata kidogo kazi yao kuingiliwa na wanasiasa!
Mkikubali kuingiliwa na wanasiasa ni dhahiri haya mambo ya milipuko yataendelea na Taifa kuendelea kupoteza nguvu kazi!