Mlipata wapi ujasiri wa kulipa mahari??

Ha ha ha ha ha, hii kitu ilinitokea pia mkuu ingawa wewe walikupiga parefu sana. Huyo mtoto mwisho wa siku atakuja kuwa msaada kwa familia zote mbili sijui kwa nini wanapenda kuweka fine kubwa hivyo.
mimi nadhani walinipiga faini coz walinambia nitoe mahari ni muoe huyo mwanamke nkawapiga chenga ndo wakaona wqnipige hela kupitia mtoto
 
Back
Top Bottom