Gyole
JF-Expert Member
- Sep 20, 2013
- 7,008
- 7,091


mbona watu wanalipia malaya hela ndio wanapata utamu tena kwausiku mmoja tu kina shindikana nn sasa hapo kutoa mahali. Hata kama wamwambie mtoto kwamba baba yako alikufa kwenye tukio la kukanyaga mafuta hiyo haitaondoa ubaba wangu,wakae nae kabisa wamlee na kumlisha sumu lakini still mimi ni baba yake na haitokaa ibadilike.
Sent using Jamii Forums mobile app
Weee vipi? Baba wa kutoka wapi? Hata jina anaitwa la ujombani! mpaka akue aanze kujitambua kalelewa ujombani ndo akikua akutambue wewe? Ubaba unatokana na kujishughurisha katika makuzi, malezi, na mahitaji ya mtoto mbali ya hapo huyo sio wako!Hata kama wamwambie mtoto kwamba baba yako alikufa kwenye tukio la kukanyaga mafuta hiyo haitaondoa ubaba wangu,wakae nae kabisa wamlee na kumlisha sumu lakini still mimi ni baba yake na haitokaa ibadilike.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao wenye sifa hizo wapo wapi mkuuUnamtolea mahari mtu anayejiheshimu, ana subra, msikivu na mstahimilivu. Utamtoleaje mahari mtu ambaye yuko ovyo hana hizo tabia?. Hao uliowapata hawakuwa sahihi, walikuumiza ndy mana hukuona umuhimu ila siku ukimpt mtu sahihi ndy utajua ukatoe au lah. Watu sahihi wapo mkuu.
Inaonekana hayo Mambo unachukulia kawaida mi nachukulia Kwa makiniHata ukimfumania, au akibeba mimba njee atabaki kuwa mkeo, kwa akili ya kitoto ni ngumu kunielewa, ukiiva katika sekta ya hisia na saikolojia utaungana na mimi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi apa (mfano tu). Jua wanawake wa aina hiyo wapo. Sema upate baht tu ya kukutn nao.Hao wenye sifa hizo wapo wapi mkuu
yah wapo, sema yeye alikutana na magube gube.Wapo tele mtu humpata anaye endana naye
Mungu asaidie Tu Kwa maana Hali ishkuwa mbayaMimi apa (mfano tu). Jua wanawake wa aina hiyo wapo. Sema upate baht tu ya kukutn nao.
Kwamba kugongewa ni Siri ya ndani
Suala ni kuishi na mwanamke halfu BDO kipochi manyoya kinaliwa nje kama kaww
Unajua ukitoka mahari unakuwa na mzigo Fulani ndugu zako WA karibu uliowapotezeq mda WA kwenda ukweni mda na ishu zingineKwahiyo hela yako inathamani zaidi kushinda huyo mwanamke! Kulipa mahali ni heshima tu na sio kitu kingine.
mbona watu wanalipia malaya hela ndio wanapata utamu tena kwausiku mmoja tu kina shindikana nn sasa hapo kutoa mahali.
Sent using Jamii Forums mobile app
pole sana mkuuMungu asaidie Tu Kwa maana Hali ishkuwa mbaya
Suala ni kuishi na mwanamke halfu BDO kipochi manyoya kinaliwa nje kama kaww
Na baadhi wana ponzwa na wasio na subra..Unamtolea mahari mtu anayejiheshimu, ana subra, msikivu na mstahimilivu. Utamtoleaje mahari mtu ambaye yuko ovyo hana hizo tabia?. Hao uliowapata hawakuwa sahihi, walikuumiza ndy mana hukuona umuhimu ila siku ukimpt mtu sahihi ndy utajua ukatoe au lah. Watu sahihi wapo mkuu.
Ha ha ha ha ha, hii kitu ilinitokea pia mkuu ingawa wewe walikupiga parefu sana. Huyo mtoto mwisho wa siku atakuja kuwa msaada kwa familia zote mbili sijui kwa nini wanapenda kuweka fine kubwa hivyo.mimi hilo jambo limenitokea, yani nilimnunua mtoto wangu kwa sh. 7ooooo. ndo nikapewa mtoto ila tayari mtoto alikuwa ameshatimiza miaka 3½