Mlipata wapi ujasiri wa kulipa mahari??

Manifestation

Senior Member
Jan 22, 2020
193
315
Kuna hili suala la wanaume kugharamia sehemu kubwa ya maisha ya mwanamke na bado mwanamke anaendelea kugawa uroda Kwa vijana wengine na ikiwezekana vijana wenyewe hawagharamii chochote inauma sana.

Kwa Sisi tunaojitoa usiku na mchana kuhakikisha wachumba wetu wanava, Kula, lipa kodii, nywele nk halafu kuna watu wanaendelea Kula na mda mwingine kwenye simu uliomnunulia ndo anawasiliana na mabwana zake wengine au kwenye chumba ulipompangia ndo analeta mabwana zake hapo..inauma sana kufupisha story.

Hivi nyie mliwezaje kwenda kumtolea mahari?? Mlipata ujasiri huo wapi!?? Nilikuwa natamani sana kuoa na nilijua wanawake waaminifu wapo Ila mahusiano yangu ya nyumba yamebadilisha mawazo yangu kabisa kuhusiana na kuoa.
 
Unamtolea mahari mtu anayejiheshimu, ana subra, msikivu na mstahimilivu. Utamtoleaje mahari mtu ambaye yuko ovyo hana hizo tabia?. Hao uliowapata hawakuwa sahihi, walikuumiza ndy mana hukuona umuhimu ila siku ukimpt mtu sahihi ndy utajua ukatoe au lah. Watu sahihi wapo mkuu.
 
Labda kama huyo mwanamke hana kwao. Kuna nyumba ukimtia mtoto wao mimba sahau km una mtoto kama hujajitambulisha, kulipa faini na kutoa mahari.
mimi hilo jambo limenitokea, yani nilimnunua mtoto wangu kwa sh. 7ooooo. ndo nikapewa mtoto ila tayari mtoto alikuwa ameshatimiza miaka 3½
 
Wapo tele mtu humpata anaye endana naye
Unamtolea mahari mtu anayejiheshimu, ana subra, msikivu na mstahimilivu. Utamtoleaje mahari mtu ambaye yuko ovyo hana hizo tabia?. Hao uliowapata hawakuwa sahihi, walikuumiza ndy mana hukuona umuhimu ila siku ukimpt mtu sahihi ndy utajua ukatoe au lah. Watu sahihi wapo mkuu.
 
Labda kama huyo mwanamke hana kwao. Kuna nyumba ukimtia mtoto wao mimba sahau km una mtoto kama hujajitambulisha, kulipa faini na kutoa mahari.
Hata kama wamwambie mtoto kwamba baba yako alikufa kwenye tukio la kukanyaga mafuta hiyo haitaondoa ubaba wangu,wakae nae kabisa wamlee na kumlisha sumu lakini still mimi ni baba yake na haitokaa ibadilike.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe baki hivyo hivyo mkuu,
Wanaoweza kulipa mahari waache walipe,
Mahari siyo fomula, kila jamii ina utaratibu wake, na uuache kugeneralize wanawake, inawezekana unakutana na hao unaosema hawajatulia, lakin si wote wapo hivuo, vinginevyo tusingeshuhudia ndoa zinaendlea kufungwa makanisani na misikitini,,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata ukimfumania, au akibeba mimba njee atabaki kuwa mkeo, kwa akili ya kitoto ni ngumu kunielewa, ukiiva katika sekta ya hisia na saikolojia utaungana na mimi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom