Consigliere
Platinum Member
- Sep 9, 2010
- 12,689
- 26,568
Hats madaktari na manesi huwa wanaingia ICU, huenda kipo ICU kwa lengo la kutibu na kuokoa maisha ya mgonjwa Tanzania, kuna ubaya gani hapo?Chama kiko ICU
Besides, kuwa ICU haimaanishi ni hatua Moja na ya mwisho kabla ya kifo.
Watoto Wa siku hizi busara hamuwezi kuwa nazo.
Zamani, radio Tanzania Dar es salaam walimua na kipindi cha salaam kwa wagonjwa, kati ya maneno yaliyokuwa yanapatikana kwenye wimbo kuashiria kuanza au kuisha kwa kipindi hicho in haya;
"Ajuaye Bwana Mungu kwa mzima kuwa mfu, mgonjwa kuwa salama..."
Tafakari!!!