ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,048
- 6,199
Wa lumumba na policcm hawawezi kukubaliana nawe.Chama kiko ICU
Wa lumumba na policcm hawawezi kukubaliana nawe.Chama kiko ICU
JPM forever. Hakuna wa kumtoaHili liko dhahiri. CHADEMA kwa sasa ndicho chama makini zaidi kwa Tanzania kuliko chama chochote. Hiki tunaweza kukilinganisha na chama cha Democracy Alliance(DA) ambacho ni chama pinzani kwa ANC kule Bondeni kwa marehemu mzee Madiba.
Juzi kwenye Uchaguzi wa Serikali xa Mitaa huko Bondeni, chama cha DA kimechukua karibu majiji yote muhimu ikiwemo Jo'Burg na Cape Town kama CHADEMA ilivyo kwa Dar-es-salaam na Arusha.
CCM kwa akili za kipuuzi wanazidi kuijenga CHADEMA. Mwenyekiti wao JPM anafikiri kuibana CHADEMA isifanye mikutano ya ndani na nje na wala isiandamane anaona ni mwarobaini wa kuimaliza CHADEMA. Lakini pia kwa akili ya Mwenyekiti huyu wa CCM anafikiri kamata kamata ya viongozi wa CHADEMA na kuanza kuwafuatilia kwenye Biashara zao anaona ni suluhisho la kuimaliza CHADEMA. Lazima ieleweke kwamba kwa maamuzi haya JPM amechemka na hii litamgharimu vibaya sana kwenye Uchaguzi Mkuu wa 2020 ni swala la muda tu.
Spoon feeding hudhoofisha kufikiri kwa mliosomeshwa shule za kata, jitahidi!Fedha huleta vurugu au kuchochea vurugu ? Vi..laza tabu kweli !
Kijiji gani hicho cha ajabu?Kwakweli huku kijijin hata hawaelew chedema kama bado ipo tanzania
And CCM will be invited again to dance the same song of UKU TAA aaaa haaa.Hey guy! Who told you so? You are just try to hide the known fact, but message sent to the targeted mean and we hv seen its impact. Note that,1st Oct is around the margin.
Na wanaendelea kuicheza kwa matamko ya mwendokasi.Serekali inacheza ngoma ya chedema
Jitazame mwenyewe kwanza nduguFailure ya UKUTA ndo mnaita ubunifu?
Nyie watu mko delusional kweli.
Kumbe ccm ililenga kuanzisha shule za kata ili kudhoofisha fikra za walalahoi ili wewe uliyesomeshwa st magdalena uonekane bora.!Spoon feeding hudhoofisha kufikiri kwa mliosomeshwa shule za kata, jitahidi!
Mi naomba waendelee hivyo hivyo mana kupitia CHADEMA maendeleo yataletwaChadema ndio moyo wa nchi hii
Usijilinganishe na mimi, nimesoma nje ya nchi hebo!Kumbe ccm ililenga kuanzisha shule za kata ili kudhoofisha fikra za walalahoi ili wewe uliyesomeshwa st magdalena uonekane bora.!
kaka ukuta haja fail umefanikiwa sana kifikra kuliko action, no rahisi kulaumu ukiwa nyuma ya keyboard lakini wale walioko front line wanakumbana na shuruba, hivi jiulize viongozi karibu wote wa chama wamekamatwa wiki hii wengine wako mahabusu, nani ataorganise ukuta??Failure ya UKUTA ndo mnaita ubunifu?
Nyie watu mko delusional kweli.
Wanajeshi wangefanya usafi mitaani, kwa sababu ya chama kilichoko ICU?Chama kiko ICU
kwenda zako huko ungekuwa umesoma nje ungeshabikia chama kile kinachoogopa majukwaa ya kisiasa kujibu hoja kinzani za wapinzaniUsijilinganishe na mimi, nimesoma nje ya nchi hebo!
Unaongelea vijiji vipi hivyo, unaongelea wananchi kutazama TV? Ila umesahau hao wananchi wanaishukuru serikali sasa wanatizama TVChadema hakifi leo wala mtondo goooo kwa sisi tunaozunguka hadi vijijini ambako sasa wana umeme wa REA huwadanganyi kitu na wanakwambia kweli Chadema wana akili
Kwa ujinga wako hujui kuwa China na Korea Kaskazini nako ni nje!kwenda zako huko ungekuwa umesoma nje ungeshabikia chama kile kinachoogopa majukwaa ya kisiasa kujibu hoja kinzani za wapinzani