Mliotabiri kifo cha CHADEMA mpo hapo?

Mliotabiri kifo cha CHADEMA mpo hapo?

Wanajeshi wangefanya usafi mitaani, kwa sababu ya chama kilichoko ICU?

Jeshi la polisi lingehamia barabarani kwa sababu la chama kilichoko ICU?

Ile marufuku ya SIASA ulidhani imewekwa kwa ajili ya TLP au UDP? Hapana! Ni kwa ajili ya hiko chama ambacho wewe unasema kiko ICU!

CHADEMA ndicho kinacho - run TANZANIA, kubali au kataa, lakini keep this in mind!
kitendo cha kuwafanyisha wanajeshi usafi bila ya kupenda ni fedheha kwa jeshi, kweli Chadema waongoza nchi, hata teuzi mbalimbali za mh. mtukufu target ni kupambana na Chadema
 
Kupitia operation UKUTA nimegundua yafuatayo.

1/Kumbe chadema kina nguvu kubwa nchi nzima,uthibitisho ni mazoezi ya polisi nchi nzima.

2/Kukamatwa kwa viongozi wa chama maeneo mbali mbali ni ishara kua hiki chama ni kikubwa na kina uongozi imara kila Kona.

3/Kupitia matamko ya vitisho vilivyotolewa na viongozi wa serikali maeneo mbali mbali ni ishara kua chama kipo imara.

4/Ubunifu wa hali ya juu wa viongozi wa CHADEMA kupelekea watu kukosa usingizi.

5/CHADEMA kwa sasa ni chama maarufu kuliko hata CCM kutokana na kutajwa sana katika maeneo mbali mbali ndani na nje ya nchi.

6/Umoja wa wanachama wa chadema na wafuasi wao ni mkubwa.

6/ Imedhirisha kua bila chama makini kama CHADEMA watawala wanaweza kujisahau.
Dah! Ndio unagundua leo? vunja ukimya amsha na wanaokuzunguka ambao hawajajua bado
 
Ukizingatia buku saba 7 na UVCCM wapo kwa ajiri ya chadema ili wapate buku 7.IT MASAKI wapo kwa ajiri ya chadema kwa hiyo bila chadema uvccm.IT MASAKI.BUKU 7 LUMUMBA hamtaweza kusavaivu haya maisha ombeni Mungu chadema iendelee kuwepo

Swissme
 
Ukizingatia buku saba 7 na UVCCM wapo kwa ajiri ya chadema ili wapate buku 7.IT MASAKI wapo kwa ajiri ya chadema kwa hiyo bila chadema uvccm.IT MASAKI.BUKU 7 LUMUMBA hamtaweza kusavaivu haya maisha ombeni Mungu chadema iendelee kuwepo

Swissme
We retarded brain CCM imekuwepo kabla hujazaliwa na hata kabla Mtei hajaizaa CHADEMA.
Na CCM itakuwepo hata baada ya wajukuu wako kubaleh.
 
N
We retarded brain CCM imekuwepo kabla hujazaliwa na hata kabla Mtei hajaizaa CHADEMA.
Na CCM itakuwepo hata baada ya wajukuu wako kubaleh.
Ndio hawa wamekuja haya kachukue buku 7 zaki

Swissme
 
Nani ana habari na machadema??


Watu tuko bize na Magufuli.
Watoto wetu wanasoma bure
 
You justify your failure by excuses. So pathetic. What was done by the government was to deal with a deadly virus that CDM wanted to propagate as a way of rejuvenating itself but in essence, CDM is damn dead. What you want people to believe as a show of strength are just the last kicks of a dying horse.

Kumbe haya ndo mawazo ya mifugo, safi sana.
Endeleeni kuwaza hivi hivi na muwaache polisisiem wawe chama pinzani kwa CHADEMA alafu majibu mtayapata 2020
 
Unaongelea vijiji vipi hivyo, unaongelea wananchi kutazama TV? Ila umesahau hao wananchi wanaishukuru serikali sasa wanatizama TV
Nenda nyanda za juu kusini,mashariki, na magharibi mwa Tz, wananchi wanaipongeza world Bank na msaada kwa hisani ya watu wa marekani mana ndo waliofanikisha kwa 90% umeme wa REA wengine wamemudu kununua solar na wametundika madishi kwenye paa zao wakipata taarifa ya kile kinachojiri katika nchi yao tembea uone usiishie mjini unakoishi na JF tu
 
Kuna jamaa kijijin kwetu anaitwa jinga p man alijaribu kuuwa mende kwa nyundo kajikuta ka aribu tv, kapasua na sakafu alafu mende katowekea jikon!
 
Kupitia operation UKUTA nimegundua yafuatayo.

1/Kumbe chadema kina nguvu kubwa nchi nzima,uthibitisho ni mazoezi ya polisi nchi nzima.

2/Kukamatwa kwa viongozi wa chama maeneo mbali mbali ni ishara kua hiki chama ni kikubwa na kina uongozi imara kila Kona.

3/Kupitia matamko ya vitisho vilivyotolewa na viongozi wa serikali maeneo mbali mbali ni ishara kua chama kipo imara.

4/Ubunifu wa hali ya juu wa viongozi wa CHADEMA kupelekea watu kukosa usingizi.

5/CHADEMA kwa sasa ni chama maarufu kuliko hata CCM kutokana na kutajwa sana katika maeneo mbali mbali ndani na nje ya nchi.

6/Umoja wa wanachama wa chadema na wafuasi wao ni mkubwa.

6/ Imedhirisha kua bila chama makini kama CHADEMA watawala wanaweza kujisahau.

kwa hiyo??

2020 mbali sana
 
Kuna jamaa kijijin kwetu anaitwa jinga p man alijaribu kuuwa mende kwa nyundo kajikuta ka aribu tv, kapasua na sakafu alafu mende katowekea jikon!
Alipata wapi akili ya kujenga nyumba yenye sakafu na kununua tv huko kijijini kwenu?

Pengine utuambie kuwa huyo ndugu yako alivipata bila jasho, ie mwizi au fisadi!
 
Failure ya UKUTA ndo mnaita ubunifu?

Nyie watu mko delusional kweli.

Mzee punguza mzuka. Kwani wewe ulitakaje hivi? Mbona JFK alizuia vita against ussr sbb ikiwa watu wasife and the world to be a better place.

Ukuta ni km cold war
 
Sasa kama chama kiko ICU si msubiri kife tu! Yanini kuhangaika na mazoezi ya polisi kutwa kucha, mazoezi ambayo hatujawahi kuyasikia au kuyaona tangu nchi ipate uhuru miaka 55 iliyopita? Kipi mnachoogopa chama ambacho kipo ICU kikiandaa mkutano au maandamano na wafuasi wake!?

Chama kiko ICU
 
Sasa kama chama kiko ICU si msubiri kife tu! Yanini kuhangaika na mazoezi ya polisi kutwa kucha, mazoezi ambayo hatujawahi kuyasikia au kuyaona tangu nchi ipate uhuru miaka 55 iliyopita? Kipi mnachoogopa chama ambacho kipo ICU kikiandaa mkutano au maandamano na wafuasi wake!?
Uliza Al Sisi wa Misri alivyo wateketeza Muslim Brotherhood na maandamano yai yasiyoisha.
Ukicheka na nyani unavuna mabua.
 
Back
Top Bottom