Mliosema hang'oki mbona kang'oka?

Mliosema hang'oki mbona kang'oka?

Leo hii mnashangilia ujinga tu hapa na kupoteza muda, baada ya kupambana ili serikali iweke hadharani mikataba ya oil and gas ili muone ukweli na kudai haki yenu kazi ooooh MENGI mara MUHONGO, pumbavu kweli nyie, yaani jasho linawatoka kujadili ujinga huu... WATANZANIA 25% na MUWEKEZAJI 75% tena hapo mnagawana hiyo faida, muwekezaji keshatoa investment cost yake zamaniii... Halafu mnapoteza muda kujadili ujinga,, baada ya kuiwajibisha serikali na kuvunja mikataba yote tunaendeleza huu ujinga..

KWELI IDI AMIN ANAHITAJIKA TANZANIA ILI WAJINGA WENGI WAFE KWANZA NA WATU UOGA UWATOKE.
 
Watanzania kweli tumezoea biashara za juice na matunda,, wapi mtanzania anafanya international business bwana, ni ROSTUM AZIZI NA BAKHRESSA PEKEE NDIO WAKO kwenye international business, wengine ujanjaujanja tu humuhumu bongo. Wapi ulimsikia ALICKO DANGOTE anaomba kitalu cha bure NIGERIA,, tajiri wa kweli ambaye siye mjanjamjanja huwezi kumsikia analialia kama MENGI,,, vitalu si hata nigeria na uganda hapo si vipo? Yeye kama anahela aende kununua tu hata huko,,, kilichomtoa MUHONGO its not about Mengi bali uozo wa mfumo mzima wa utawala wa CCM na watanzania kwa ujumla,,, watanzania wote hatuna tofauti na mashoga au wale malaya wanaojiuza barabarani kule, kazi kupiga kelele kama mambwa koko tu... Nyie mnaona rais nchi imemshinda toka zamani na mnajua kabisa nchi imeshikwa na wahuni, sasa mnasubiri nini??? na mnamsubiri nani awasaidie?? Mnafikiri CCM itatoka kwenye box la kura huku nyie mko gesti na baa??? Kuondoka kwa MUHUNGO sio mwisho wa matatizo ya TANZANIA NA CCM!!! hawa akina Mengi ndio walewale wanafiki, Mengi ni CCM tu nae ila maslahi yake yakiguswa utaona anaanza kelele... WATANZANIA TUACHE UNAFIKI,, HII NI DHAMBI KUBWA SANA NA ITATUTAFUNA SANA..

Hivi Mengi alichota ngapi kweye Escrow?
 
Kwahiyo umekiri wazi wazi mswahili mwenzenu ni MTU mwenye huruma dhidi ya wezi?
Kwahiyo ndio maana nchi inateketezwa na wezi kwaajili ya huruma yake? Dini yake inamfundisha kuwa na staha mbele ya wezi?

Kumbe ndio maana akina Singa singa wanatujambishia mitaani kwakuwa JK anahurumia Sana wezi...

2015 CCM inasimamisha mkristo tutaona upuuzi na unafiki wenu waswahili Wa kamsamba

Mkuu nimefurahia comments zako ila tafadhali usiweke udini, kuna waislamu wengi hawapendi mambo ya JK
 
Watanzania kweli tumezoea biashara za juice na matunda,, wapi mtanzania anafanya international business bwana, ni ROSTUM AZIZI NA BAKHRESSA PEKEE NDIO WAKO kwenye international business, wengine ujanjaujanja tu humuhumu bongo. Wapi ulimsikia ALICKO DANGOTE anaomba kitalu cha bure NIGERIA,, tajiri wa kweli ambaye siye mjanjamjanja huwezi kumsikia analialia kama MENGI,,, vitalu si hata nigeria na uganda hapo si vipo? Yeye kama anahela aende kununua tu hata huko,,, kilichomtoa MUHONGO its not about Mengi bali uozo wa mfumo mzima wa utawala wa CCM na watanzania kwa ujumla,,, watanzania wote hatuna tofauti na mashoga au wale malaya wanaojiuza barabarani kule, kazi kupiga kelele kama mambwa koko tu... Nyie mnaona rais nchi imemshinda toka zamani na mnajua kabisa nchi imeshikwa na wahuni, sasa mnasubiri nini??? na mnamsubiri nani awasaidie?? Mnafikiri CCM itatoka kwenye box la kura huku nyie mko gesti na baa??? Kuondoka kwa MUHUNGO sio mwisho wa matatizo ya TANZANIA NA CCM!!! hawa akina Mengi ndio walewale wanafiki, Mengi ni CCM tu nae ila maslahi yake yakiguswa utaona anaanza kelele... WATANZANIA TUACHE UNAFIKI,, HII NI DHAMBI KUBWA SANA NA ITATUTAFUNA SANA..

Umesema kweli mkuu
 
Kwa mujibu wa gazeti la Mawio Ridhiwani Kikwete alinukuliwa akisema kuwa hakuna Waziri atakae jiuzulu. Pia ni baadhi ya Hawa waliowahi kutamuka kuwa Rais hatatoka kaskazini. Tusubiri tamthilia inaendelea..........

Hata uyu gubegube faizafox alisema hakuna atakaye achia ngazi.Leo akikumbushwa anajikana mwenyewe hapo ndio naamini ccm inatetewa na mazezeta wanajikana hata wenyewe.kama alivyojikana Dr mwakyembe kuhusu msimamo wa serikali tatu kwahyo faizafox ajaanza yeye kujikana. mazezeta ya ccm ni kama makasuku yanaimba kile MAFISADI wanawaimbisha.
 
nadhani hapa faizafoxy na lizaboni waje waseme imekuaje fisadi mwenzao kaachia ngazi maana ndo walikua vinara wa kumtetea

Alivyomfuata Muajiri wake huko UGHAIBUNI ,wakashauriana kuwa ni aibu Mwenye nyumba akijulikana ndiyo mcheza deal wa wizi uliotokea kwenye nyumba yake.Hivyo ikambidi umuombe sana sana ajiuzulu mwenyewe kukwepa WM kuwajibishwa kwani atakuwa rais wa kwanza kuwajibisha mawaziri wakuu wawili kwa sakata lile lililotokea kwa njia zilezile.
 
Bora ametoka,kama hajaweza kutoa majibu sahihi hata kama hakupata mgawo wowote anapaswa kuwajibika, alikuwa anabeep kung`ang`ania madaraka
 
kweli kabisa watu walikja hapa ooh Mengi kachemka,mara ooh prof Muhongo mbele mbele,leo chaliiiii wako wapi?.Haaa shikamoo Mengi.
 
Hela zako nani anakupangiaga kanuni za kutumia?

Unless kama ziko uchagoni kwangu. Kama zipo kwenye taasisi lazima vigezo na masharti vizingatiwe vinginevyo ni sawa na kuwinda kuku wako kwa manati lazima majirani watakuhisi kuwa unawinda kuku wao pia.
 
Leo hii mnashangilia ujinga tu hapa na kupoteza muda, baada ya kupambana ili serikali iweke hadharani mikataba ya oil and gas ili muone ukweli na kudai haki yenu kazi ooooh MENGI mara MUHONGO, pumbavu kweli nyie, yaani jasho linawatoka kujadili ujinga huu... WATANZANIA 25% na MUWEKEZAJI 75% tena hapo mnagawana hiyo faida, muwekezaji keshatoa investment cost yake zamaniii... Halafu mnapoteza muda kujadili ujinga,, baada ya kuiwajibisha serikali na kuvunja mikataba yote tunaendeleza huu ujinga..

KWELI IDI AMIN ANAHITAJIKA TANZANIA ILI WAJINGA WENGI WAFE KWANZA NA WATU UOGA UWATOKE.

we got it
 
Unless kama ziko uchagoni kwangu. Kama zipo kwenye taasisi lazima vigezo na masharti vizingatiwe vinginevyo ni sawa na kuwinda kuku wako kwa manati lazima majirani watakuhisi kuwa unawinda kuku wao pia.

Kuku wangu, manati yangu, kashaingia Hm kwangu sasa hata kumpika utanipangia nimpike kwa pilau au nimchome?
Najiamulia mwenye afwe namgaiya firigisi, Lizaboni atapata kichwa FaizaFoxy nitampa ule mdomo chongoko, iliyobaki naituliza kwa jokofu nitajua la kufanya
 
Last edited by a moderator:
Kuku wangu, manati yangu, kashaingia Hm kwangu sasa hata kumpika utanipangia nimpike kwa pilau au nimchome?
Najiamulia mwenye afwe namgaiya firigisi, Lizaboni atapata kichwa FaizaFoxy nitampa ule mdomo chongoko, iliyobaki naituliza kwa jokofu nitajua la kufanya


Mpaka hapo inaonyesha kuku wako ni wa kizungu (wa kisasa) unamfugia kwenye banda la auni. Huku kwetu kuku ni wa kienyeji huenda kula nje mpaka kwa majirani. Ndio maana process za kumkamata lazima ziwashirikishe majirani. Na kwa huku pwani ili kuepuka kulisha majrni zako kibudu lazima uombe ustadhi vinginevyo akichinja au Rugemalila au Singasinga utatulisha haramu.
 
Mpaka hapo inaonyesha kuku wako ni wa kizungu (wa kisasa) unamfugia kwenye banda la auni. Huku kwetu kuku ni wa kienyeji huenda kula nje mpaka kwa majirani. Ndio maana process za kumkamata lazima ziwashirikishe majirani. Na kwa huku pwani ili kuepuka kulisha majrni zako kibudu lazima uombe ustadhi vinginevyo akichinja au Rugemalila au Singasinga utatulisha haramu.

Kashaingia kwenye nyumba yake bado unataka nihangaike kumkamata.?
Huyu huyu wa kienyeji anayechakura kila kona, kama kuchinja nachinja mwenyewe hutaki nyama kaa na njaa yako ila sijaona aliyekataa hata manyoya wamebeba.
 
Baada ya Bunge kushinikiza aliekuwa wazir wa Nishati Na madini Prof Sospiter muhongo kuachia ngazi hatimaye kujiuzulu siku ya jana tar 24/01/2015.leo Tume ya miamba na madini Dunian imemteua Prof sospiter mwijarubi Muhongo kuwa mwenyekiti mpya wa tume hiyo yenye makao yake makuu nchini Uengereza,All the best Prof sospiter muhongo katika majukum ysko mapya,,duh kweli elimu na ujuzi inabeba watu dunian.
 
Back
Top Bottom