samurai
JF-Expert Member
- Oct 16, 2010
- 11,478
- 24,250
Leo hii mnashangilia ujinga tu hapa na kupoteza muda, baada ya kupambana ili serikali iweke hadharani mikataba ya oil and gas ili muone ukweli na kudai haki yenu kazi ooooh MENGI mara MUHONGO, pumbavu kweli nyie, yaani jasho linawatoka kujadili ujinga huu... WATANZANIA 25% na MUWEKEZAJI 75% tena hapo mnagawana hiyo faida, muwekezaji keshatoa investment cost yake zamaniii... Halafu mnapoteza muda kujadili ujinga,, baada ya kuiwajibisha serikali na kuvunja mikataba yote tunaendeleza huu ujinga..
KWELI IDI AMIN ANAHITAJIKA TANZANIA ILI WAJINGA WENGI WAFE KWANZA NA WATU UOGA UWATOKE.
KWELI IDI AMIN ANAHITAJIKA TANZANIA ILI WAJINGA WENGI WAFE KWANZA NA WATU UOGA UWATOKE.