Watanzania kweli tumezoea biashara za juice na matunda,, wapi mtanzania anafanya international business bwana, ni ROSTUM AZIZI NA BAKHRESSA PEKEE NDIO WAKO kwenye international business, wengine ujanjaujanja tu humuhumu bongo. Wapi ulimsikia ALICKO DANGOTE anaomba kitalu cha bure NIGERIA,, tajiri wa kweli ambaye siye mjanjamjanja huwezi kumsikia analialia kama MENGI,,, vitalu si hata nigeria na uganda hapo si vipo? Yeye kama anahela aende kununua tu hata huko,,, kilichomtoa MUHONGO its not about Mengi bali uozo wa mfumo mzima wa utawala wa CCM na watanzania kwa ujumla,,, watanzania wote hatuna tofauti na mashoga au wale malaya wanaojiuza barabarani kule, kazi kupiga kelele kama mambwa koko tu... Nyie mnaona rais nchi imemshinda toka zamani na mnajua kabisa nchi imeshikwa na wahuni, sasa mnasubiri nini??? na mnamsubiri nani awasaidie?? Mnafikiri CCM itatoka kwenye box la kura huku nyie mko gesti na baa??? Kuondoka kwa MUHUNGO sio mwisho wa matatizo ya TANZANIA NA CCM!!! hawa akina Mengi ndio walewale wanafiki, Mengi ni CCM tu nae ila maslahi yake yakiguswa utaona anaanza kelele... WATANZANIA TUACHE UNAFIKI,, HII NI DHAMBI KUBWA SANA NA ITATUTAFUNA SANA..