Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 29,489
- 42,564
Watanzania mlio wachache mnashangaza sana.
Hivi mnafurahia lulu ile kuondoka katika uongozi? amma kwa hakika tuna safari ndefu ya kwenda.
Na Mengi asifikiri Simbachewene ndiyo ata bow down. Maawe! labda Rais si Kikwete.
Huyo JK si afadhali ya singasinga? Mbona anaingizwa mini kila siku na matapeli? Unamuona mwamba kwa lipi? Serikali inaingizwa mjini kilauchao juzi kaingizwa mkenge na mwekezaji wa treni ya kasi kamshobokea kumbe mhuni tu....
Ni JK aliyeufanya urais wa TZ uwe rahisi Sana.