Mliosema hang'oki mbona kang'oka?

Mliosema hang'oki mbona kang'oka?

mkuu weka ID zao hapa hawa wenye mtindio wa ubongo na wachumia tumbo ambao walilipwa na kupewa laptop eti wavamie JF, JF haivamiwi kwa husda la hasha hata kidogo, njoo na maona kwa taifa itasaidia sio na njaa za laptop na pesa ya juisi unajifaytua akili. aibu yao.
 
Muhongo atapata taabu kubwa kupata tena kazi kwenye mashirika ya kimataifa alipokuwa awali,kwani huko hawaajiri WEZI!
 
Nawapa pole sana vibaraka na mahawara za prof muongoo..mwizi. Dalali mkuu.mwizi wetu kaufyata...kashindwa kuweka palinge na mwenyekiti wetu.na bado tutahakikisha anafanya kazi ya kuuza mkaa mjini hapa.

Wewe Ni Mwanasiasa? Au Ndo Yule Bi Mdogo Wa Mengi?
 
Uroho wa madaraka umemponza. Afadhali angejibakia South Africa alikokuwa ili aendelee na dili zake. Sasa hivi ameigalagaza sana cv na heshima yake kitaifa na kimataifa.
 
Rais amelidanganya taifa inakuwaje alisema kwamba pesa sio za umma wakati tunaona watu wanaachishwa madaraka,wanajiudhulu,wanapelekwa mahakamani kunanini hapa?.
Anadai ni za iptl lakini wanaofukuzwa kazi na kushushwa madarakani ni watendaji wa selikari wala sio wa iptl imekaaje hii?.
Pr.Muhongo kabana sana na mikwara yake mara sig'oki madarakani nikig'olewa taifa litapata mtikisiko,kapata wapi mamlaka ya kulitsha taifa na kiogozi wake mh.fadher rizmoko,na usalama wa taifa wako wapi hawa mbona sielewi?.
Wanaoendelea kumpa kichwa Muhongo aonekane ni mtu safi na mhadirifu huku wakituponda wazarenda na Dr.R.mengi,hawa ni akina nani na wanataka nini kwa taifa letu?
 
Wewe Ni Mwanasiasa? Au Ndo Yule Bi Mdogo Wa Mengi?
Hua najitahidi sana kuunganisha dots za aliyoyafanya Muhongo na connection ya Mengi kuhusika kwakweli sijapata, please nyie anti Mengi hebu mje na concrete reasons za Mengi kuhusika na SAGA la Escrow Vs Muhongo. Najua mtakuja na issue ya ugomvi wake na vitalu vya gas, hilo halina uhusiano kabisa na SAGA lilimwondoa profesa wa Geology hata kidogo, please come back and explain!
 
  • Thanks
Reactions: 999
Hua najitahidi sana kuunganisha dots za aliyoyafanya Muhongo na connection ya Mengi kuhusika kwakweli sijapata, please nyie anti Mengi hebu mje na concrete reasons za Mengi kuhusika na SAGA la Escrow Vs Muhongo. Najua mtakuja na issue ya ugomvi wake na vitalu vya gas, hilo halina uhusiano kabisa na SAGA lilimwondoa profesa wa Geology hata kidogo, please come back and explain!

Wala usisumbuke wakupe reasons hawa ignorants. Watu waliomtetea Muhongo wamejawa na emotions tu. Wanafikiri kuwa hata kama Muhongo akitenda kosa asichukuliwe hutua kisa ana ugomvi na mengi. very primitive thinking
 
Wala usisumbuke wakupe reasons hawa ignorants. Watu waliomtetea Muhongo wamejawa na emotions tu. Wanafikiri kuwa hata kama Muhongo akitenda kosa asichukuliwe hutua kisa ana ugomvi na mengi. very primitive thinking

Haya wapiga debe mumepewa konda mzoefu chawene nyanyueni mikono juu
 
Tunawashangaeni nyie watu mnaoshadadia ooh Mengi,mengi!!kwani ndo aliyemtuma bwana wenu akahomole mabilioni kwa kumtumia Singasinga,watanzania wote wasioupenda ufisadi tumefurahi ajabu,umebaki wewe na mafisadi wenzio wa BUKU 7 FC.BTW fuko mojawapo lililochukuliwa pale STANBIC atapewa na singasinga kama kifuta jasho
Kuondoka kwa prof muhongo hakumsaidii huyo mkuu wenu wa fitna kupata vitalu vya kufanyia udalali. Hana pesa za kuwekeza kwenye exploration ya gesi na mafuta. Kama anaweza kuwatapeli hata wafanyakazi wake mishahara ataweza wapi kutumia pesa nyingi kwenye gesi bila uhakika wa kupata chochote?
 
Hua najitahidi sana kuunganisha dots za aliyoyafanya Muhongo na connection ya Mengi kuhusika kwakweli sijapata, please nyie anti Mengi hebu mje na concrete reasons za Mengi kuhusika na SAGA la Escrow Vs Muhongo. Najua mtakuja na issue ya ugomvi wake na vitalu vya gas, hilo halina uhusiano kabisa na SAGA lilimwondoa profesa wa Geology hata kidogo, please come back and explain!

kwanza alishalalamikia hadharani kutaka upendeleo (free lunch)kitalu cha gesi na muhongo alishahoji huyu mtu anavitalu 52 vya madini bado hatosheki tu? watu wanaopewa vipaumbele ITV ndo walikuwa mstari wa mbele kumshambulia muhongo e.gMbatia Kafulila Lembeli kwa namna nyingine walikuwa wanalipa fadhila ya mfadhili wao.
 
Kwa wale wote mnaofikiri prof Muhongo is innocent, kweli inawezekana Mengi ameshiriki kumchafua prof Muhongo lakini hiyo haimaanishi kuwa prof Muhongo hana hatia. Wizi si lazima wewe uwe front line, hata ukisaidi au kumficha mwizi (abetting) pia nawe utakuwa mwizi tu. Hata kama utakuwa na akili nyingi kama Albert Einstein au una pesa kama Bill gate ukikutwa na hatia lazima uhukumiwe. This is very simple nashangaa mijuti bado inaongea kwa feelings na emotions badala ya kufuata logic na common sense. Sometimes naona nchi hii haiwezi endelea kwa kasi kwa sababu imejaza mijitu mbumbumbu mingi sana. very dissapointing
 
  • Thanks
Reactions: 999
Ccm siyo wajinga kuna mamikataba mabovu alikuwa anaweka sawa kuficha aibu ya chama. Ukitaka kutoka kimaisha bila kutoka jasho jiunge na ccm hata ubalozi wa nyumba kumi unatosha miezi sita una nyumba gari viwanja kilakona mpaka maeneo ya kuchezea watoto wana uziana! Ukoo wa panya niaibu
 
Ni mchanga kwenye siasa halafu kibri kingi, ngoja apumzike
 

Attachments

  • 1422177114101.jpg
    1422177114101.jpg
    75.7 KB · Views: 201
mkuu weka ID zao hapa hawa wenye mtindio wa ubongo na wachumia tumbo ambao walilipwa na kupewa laptop eti wavamie JF, JF haivamiwi kwa husda la hasha hata kidogo, njoo na maona kwa taifa itasaidia sio na njaa za laptop na pesa ya juisi unajifaytua akili. aibu yao.

hawa hapa waendekeza njaa .. FaizaFoxy.. Lizaboni.. laki si pesa.. Simiyu Yetu.. gsu.. Cybercrime
hawa wote walipewa pesa na mhongo wampigie kampeni lakini wamepigwaaaaa baoo
 
Last edited by a moderator:
Watanzania mlio wachache mnashangaza sana.

Hivi mnafurahia lulu ile kuondoka katika uongozi? amma kwa hakika tuna safari ndefu ya kwenda.

Na Mengi asifikiri Simbachewene ndiyo ata bow down. Maawe! labda Rais si Kikwete.
 
View attachment 221384
dharau na majifuno mwisho wa siku amezama mwenyewe alitudharau sana watanzania hatuna uwezo wa kuwekeza kwenye gesi .sasa hiyo gesi atabaki kuusikia kwenye redio.
 
Hao wanaodhani, prof kangolewa na mengi ni wapuuzi tu aliyemngoa muhongo ni ndugu yake nimrodo mkono,pamoja na mbwembwe za usomi uchwara na vijitamaa vyake vya kupiga dili uzeeni tutakutana naye mtaani tu sisi wauza juice na maji
hua najitahidi sana kuunganisha dots za aliyoyafanya muhongo na connection ya mengi kuhusika kwakweli sijapata, please nyie anti mengi hebu mje na concrete reasons za mengi kuhusika na saga la escrow vs muhongo. Najua mtakuja na issue ya ugomvi wake na vitalu vya gas, hilo halina uhusiano kabisa na saga lilimwondoa profesa wa geology hata kidogo, please come back and explain!
 
Back
Top Bottom