Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature currently requires accessing the site using the built-in Safari browser.
duh kumbe ni kweli, nsikia ni 0 Simba 1 URA, poleni sana wazee wa msimbazi mjifunze kukaa na makocha. Mlitegemea mbulgaria afanye nini katika siku 2? hata hivyo mmejitahidi.
mimi ningekuwa mwandishi wa habari
gazeti langu kesho lingepambwa na kichwa kikubwa cha habari
"simba jike achambia upawa badala ya kopo"....
Nyepesi nyepesi tu mkereketwa wa JF P. Mikael alionekana akirandaranda kwa Mh Juma Athumani Kapuya wakisubiri kula shaba la pilau kufurahia ushindi, lakini baada ya kunywa goli moja hata hiyo Corolla yake ilivyotoweka haijulikani.
Jamani mkimuona mwambieni arudi tu, hapa JF hatuna noma asubiri kuona maandamano leo vijana wanafanya kweli muda si mrefu.
...yomba karibu keshi nitakuwa VIP A...kuchuhudia mnyama anavyomtafuna.....unajua tena walikitolewa makusudi kwa kuwa sisi mabwana zao tumetolewa......wakaona watufuate kesho tuwapige..kipara!!!!........tunajua mnao mastaa tuliowapa wanne kwenye first eleven yenu ...hilo hatuangalii mtatunguliwa na vijana wabichi..yosso...wenye speed kali....hatuangalii kama mnao ,makocha wanne wazungu au kama mmefanya usajili wa milioni 800...za fisadi manji...ambaye naye tunaomjua tunajua ni simba ila amekuja yanga kufanya PR repair campagne..... siku akiondoka yanga watamfuata kina madega wameinama kinyumenyume.....
........kazi ya kuwapiga vipara ni yetu mwaka wa sita huu mfulululizo hamjashinda.....hata tukiwavalisha TWIGA GIRLS STARS jezi za simba ..mtafungwa...jezi tu inatosha kuwatia hofu...!!
...yomba karibu keshi nitakuwa VIP A...kuchuhudia mnyama anavyomtafuna.....unajua tena walikitolewa makusudi kwa kuwa sisi mabwana zao tumetolewa......wakaona watufuate kesho tuwapige..kipara!!!!........tunajua mnao mastaa tuliowapa wanne kwenye first eleven yenu ...hilo hatuangalii mtatunguliwa na vijana wabichi..yosso...wenye speed kali....hatuangalii kama mnao ,makocha wanne wazungu au kama mmefanya usajili wa milioni 800...za fisadi manji...ambaye naye tunaomjua tunajua ni simba ila amekuja yanga kufanya PR repair campagne..... siku akiondoka yanga watamfuata kina madega wameinama kinyumenyume.....
........kazi ya kuwapiga vipara ni yetu mwaka wa sita huu mfulululizo hamjashinda.....hata tukiwavalisha TWIGA GIRLS STARS jezi za simba ..mtafungwa...jezi tu inatosha kuwatia hofu...!!
Mbona mpira na siasa ni vitu viwili tofauti sana Mkuu phillemon? wait 90 minutes or 120 minutes or shootouts. Rangi ya kijani na njano isikuudhi kwenye michezo.
bwana mdogo tumia tafsida
coz maneno ni makali hayo, na unatakiwa ukumbuka wahenga walisema mdomo uliponza kichwa oooohoooooooooo...
kaka mmeingia mitini sasa unasemaje...yangu si matusi...subiri nyodo za jamhuri za saa mbili kasoro....
huyo jamhuri angekuwa kocha timu ingeshika nafasi ya 3 kwenye ligi bwana?
hao makocha wanne wangekuwa makocha ..yanga wangeingia mitini bwana!!!.......wakikuwa wavunaji wa matunda tu hao ulaya .....
ok well makocha mnao nyie ambao watawaongoza nxt season kukimbizana na polisi dodoma, polisi morogoro, toto africa na ruvu shooting.
coz mashindano makubwa mnayasikia kwenye bomba tu.