Mliopo TIA mnisaidie

Mliopo TIA mnisaidie

Akili ya kubeti

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2021
Posts
440
Reaction score
664
Nimeapply hapo chuoni TIA mwezi wa 3 ngazi ya Certificate nilikua naulizia majibu kwa sisi tulioapply tayari yashatoka?? Na vipi Kama umesahau account yako uliyofungulia utaona wapi majibu?

Natanguliza shukran zangu wakuu
 
Majibu yatatoka mwez wa 9 mwanzoni kabisa uwe unatembelea website ya chuo wataweka PDF
 
Nimeapply hapo chuoni TIA mwezi wa 3 ngazi ya Certificate nilikua naulizia majibu kwa sisi tulioapply tayari yashatoka?? Na vipi Kama umesahau account yako uliyofungulia utaona wapi majibu?
Nb:Natanguliza shukran zangu wakuu
Vyuo kama hivyo mda mwingine ni vyema ukafika campus yeyote iliyo karibu yako.
 
KWA MAHITAJI YA VYUMBA KARIBU NA TIA NICHEKI🔥

📍Location: Kwa Aziz Ally, Zebra,Sabasaba & Ukuta wa Jeshi

📱 0621393139
 
Back
Top Bottom