Akili ya kubeti
JF-Expert Member
- Apr 6, 2021
- 439
- 664
Nimeapply hapo chuoni TIA mwezi wa 3 ngazi ya Certificate nilikua naulizia majibu kwa sisi tulioapply tayari yashatoka?? Na vipi Kama umesahau account yako uliyofungulia utaona wapi majibu?
Natanguliza shukran zangu wakuu
Natanguliza shukran zangu wakuu