The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Jamani hamjambo? Hapa mnajadili nini?
Samahani nimewamisi sana. Mkoloni wangu bado ni tineja, ananitumia atakavyo.
Mkiwaona mjukuu wangu MJ1 na mwalimu wangu Gaijin na wanachama wote hai wa ISC na mfadhili mkuu Smiles....Tafadhali waambieni nimewamisi sana. Naendelea na mgomo mpaka CHAT ROOM irudishwe kwa ajili ya kufanya logistics za infii.
Huyo mkoloni babu atakuwa ni HE