Gaddaf i06
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 1,770
- 2,845
Habari za wakati huu,
Nipo safarini kwa muda mrefu kidogo, niko mbali na wife.
Huyu mke wangu naona sasa anataka kunikera
, yaani kila muda sms-simu, sms-simu dah
Nampigia tunaongea saana, tunapiga stori sana, lakini kila baada ya muda kidogo huyoo kabeep! Nikipiga hana jipya lolote anaanza kujing'atang'ata tu!
Siku moja nilimpa makavu
akatulia kidogo ila alinitumia meseji ya kulaumu ananituhumu kwamba labda niko na mwingine anaetumia nafasi yake, bla bla nyingi! mpaka nikamwonea huruma ikabdi nibembeleze mmhh!
Huyu sio kwamba ndoa ndoa ni changa, niko nae kitambo tu lakini hili kuna wakati linanikera!
Hiki ni nini
Nipo safarini kwa muda mrefu kidogo, niko mbali na wife.
Huyu mke wangu naona sasa anataka kunikera
, yaani kila muda sms-simu, sms-simu dahNampigia tunaongea saana, tunapiga stori sana, lakini kila baada ya muda kidogo huyoo kabeep! Nikipiga hana jipya lolote anaanza kujing'atang'ata tu!
Siku moja nilimpa makavu

akatulia kidogo ila alinitumia meseji ya kulaumu ananituhumu kwamba labda niko na mwingine anaetumia nafasi yake, bla bla nyingi! mpaka nikamwonea huruma ikabdi nibembeleze mmhh!Huyu sio kwamba ndoa ndoa ni changa, niko nae kitambo tu lakini hili kuna wakati linanikera!
Hiki ni nini
