Insabhunsa Gusa
Senior Member
- May 13, 2011
- 109
- 88
Kwenu,
1) Wenyeviti 15 wa ccm mliojitokeza hadharani, mmekalia kuti kavu, changamkeni sasa, mtakatwa tuuu!!
2) Nyie Wachungaji na mashehe mliomtembelea nyumbani kwake eti kumshauri atangaze NIA, mko wapi? Mbona mmemwacha peke yakee kipindi hiki? Rudini mkampe maombi ya faraja!! Acheni unafiki....
3) waendesha bodaboda, mama Lishe, baba Lishe, watu wa vicoba, nanyi mko wapi?! Mbona hamna Shukrani? Mzee mmemwacha peke yakee?! Anahitaji faraja yenu, Acheni unafiki!!!
4) Nyie wote laki8 (800,000) mliomdhamini, Mbona mko kimyaaaa?! Hamna Shukrani wala neno lake matumaini kwake kipindi hichi kigumu kwake? Hamwezi kuwa wanafiki kiasi hichi??!
Akufaaaye wakati wa dhiki ndio Rafiki wa Kweli!!!!!
1) Wenyeviti 15 wa ccm mliojitokeza hadharani, mmekalia kuti kavu, changamkeni sasa, mtakatwa tuuu!!
2) Nyie Wachungaji na mashehe mliomtembelea nyumbani kwake eti kumshauri atangaze NIA, mko wapi? Mbona mmemwacha peke yakee kipindi hiki? Rudini mkampe maombi ya faraja!! Acheni unafiki....
3) waendesha bodaboda, mama Lishe, baba Lishe, watu wa vicoba, nanyi mko wapi?! Mbona hamna Shukrani? Mzee mmemwacha peke yakee?! Anahitaji faraja yenu, Acheni unafiki!!!
4) Nyie wote laki8 (800,000) mliomdhamini, Mbona mko kimyaaaa?! Hamna Shukrani wala neno lake matumaini kwake kipindi hichi kigumu kwake? Hamwezi kuwa wanafiki kiasi hichi??!
Akufaaaye wakati wa dhiki ndio Rafiki wa Kweli!!!!!