imenikuta hata mm mkuu kwani pesa ndo tumeliwa au?nilikuwa ninaaply tena kwa mdogo wangu ambaye alikosa selections zilizopita
Nimeambiwa namba ya mtihani ilikwishatumika tyr
Subirini mpk mfumo utakaporuhusu
nashindwa ku upload kaicha
kwani mmelipa tena?imenikuta hata mm mkuu kwani pesa ndo tumeliwa au?
Hapo tumeliwa mkuuimenikuta hata mm mkuu kwani pesa ndo tumeliwa au?
Ndiokwani mmelipa tena?
duh! poleni hii ndio bongoNdio
ila ngoja Tusubiri wakiruhusu reapplication
kuhusu hela ndio imetoka hiyo ikirudi pancha
Duh.. Bora umenisanua mkuu shukraninilikuwa ninaaply tena kwa mdogo wangu ambaye alikosa selections zilizopita
Nimeambiwa namba ya mtihani ilikwishatumika tyr
Subirini mpk mfumo utakaporuhusu
nashindwa ku upload kaicha
Tangazo lao la Leo tar 20 linasema utarekebisha kwenye machaguo yako uliyofanya kwa kuweka fani/kada na chuo chenye nafasi na wamesema vyuo vilivyopata wanafunzi wa kutosha havitaonekana hawamu hiinilikuwa ninaaply tena kwa mdogo wangu ambaye alikosa selections zilizopita
Nimeambiwa namba ya mtihani ilikwishatumika tyr
Subirini mpk mfumo utakaporuhusu
nashindwa ku upload kaicha
Hutakiwi kulipia tena mkuu,unatumia ileile ya mwanzo poleeHapo tumeliwa mkuu
niliwahi fanta hivi mwezi wa 7 ilikuwa 30k. Nilipiga simu mpk nikachoka coz voda walisema niwasiliane Nacte ili wanirudishie lkn wapi!!!