Mto wa mbu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2021
- 4,483
- 11,280
Tundu Antipas Lissu, alifunguliwa kesi ya uongo ya uhaini na Samia.
Samia akatumia mahakama na kina Katuga kumkomesha Lissu, mpaka Sasa ni mwezi 7 Lissu yupo jela.
Nakumbuka Kuna Askofu Mmoja alionya kubwa neno uhaini linachukuliwa poa na watawala ila akashauri sio vyema kutumia hili neno kwenye mambo ya kisiasa.
Mungu si Abdul Wala Mchengerwa, Captain Tesha Kwa alichokifanya ni uhaini pure. Uhaini ambao kina Katuga walikuwa wanauchezeachezea na kuupaka matope Sasa umekuja uhaini real kabisa.
Tesha awe mwanajeshi ni hatari Kwa Samia. Lakini Tesha kama sio mwanajeshi ni hatari pia Kwa Samia.
Samia ulituaminisha Tanzania kuna ugaidi kupitia Kwa Mbowe, then ukatuaminisha Tanzania Kuna wahaini kupitia Lissu Sasa uhaini umekuja kweli.
Kula chumba icho
Samia akatumia mahakama na kina Katuga kumkomesha Lissu, mpaka Sasa ni mwezi 7 Lissu yupo jela.
Nakumbuka Kuna Askofu Mmoja alionya kubwa neno uhaini linachukuliwa poa na watawala ila akashauri sio vyema kutumia hili neno kwenye mambo ya kisiasa.
Mungu si Abdul Wala Mchengerwa, Captain Tesha Kwa alichokifanya ni uhaini pure. Uhaini ambao kina Katuga walikuwa wanauchezeachezea na kuupaka matope Sasa umekuja uhaini real kabisa.
Tesha awe mwanajeshi ni hatari Kwa Samia. Lakini Tesha kama sio mwanajeshi ni hatari pia Kwa Samia.
Samia ulituaminisha Tanzania kuna ugaidi kupitia Kwa Mbowe, then ukatuaminisha Tanzania Kuna wahaini kupitia Lissu Sasa uhaini umekuja kweli.
Kula chumba icho