PostGE2025 Mliokuwa karibu na wanapozika au kuchoma miili ya watu kwa wingi tupate picha/video za ushahidi

PostGE2025 Mliokuwa karibu na wanapozika au kuchoma miili ya watu kwa wingi tupate picha/video za ushahidi

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Black Opal

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2023
Posts
304
Reaction score
543
Maneno yaliyopo mtaani ni kuwa kinachoendelea sasa ni kuwa polisi wanazika watu makundi kwa makundi ili kufuta ushahidi kwa yaliyotekea - mass grave, na maeneo mengine wanachoma maiti.

Na hili linathibitishwa zaidi maana watu wakienda hospitali kudai maiti zao-maitti hakuna! Yaani hospitgali ziko nyeupe! Hatuna motuary za kuweka maiti wenggi wengi na hii, hivyo hii haya ndio yanakuwa maelezo yanayomake sense.

Mazishi haya yanafanyika humu humu nchini, somewhere kutakuwa kuna mtu anashuhudia haya yakitekelezwa, kwa tuliokuwa kwenye maeneo haya tushee picha na video kuonyesha ulimwengu yanayofanyika kuzima ukweli wa kilichofanyika.
 
Najua Mange/Maria Sarungi/Sativa/Mwaipaya/Masese wanapitia pia JF ,wawaambie wananchi watume majina ya wananchi waliouawa au ambao hawaonekani tangia tar 29 then utoke MKEKA wenye majina full utumwe kwa "OCAMPO".
 
Najua Mange/Maria Sarungi/Sativa/Mwaipaya/Masese wanapitia pia JF ,wawaambie wananchi watume majina ya wananchi waliouawa au ambao hawaonekani tangia tar 29 then utoke MKEKA wenye majina full utumwe kwa "OCAMPO".

Hakika
 
Najua Mange/Maria Sarungi/Sativa/Mwaipaya/Masese wanapitia pia JF ,wawaambie wananchi watume majina ya wananchi waliouawa au ambao hawaonekani tangia tar 29 then utoke MKEKA wenye majina full utumwe kwa "OCAMPO".
Kweli asee, kila ninakopita ni vilio. Inaumiza sana!
 
Najua Mange/Maria Sarungi/Sativa/Mwaipaya/Masese wanapitia pia JF ,wawaambie wananchi watume majina ya wananchi waliouawa au ambao hawaonekani tangia tar 29 then utoke MKEKA wenye majina full utumwe kwa "OCAMPO".
Hivi nyumba yenye msiba hujificha.?
Wewe kama una ndugu yako kapoteza maisha mtaje hapa
 
Back
Top Bottom