Mliokosea kuoa na kuolewa njoeni mjifariji hapa. Mungu atawakumbuka

Mliokosea kuoa na kuolewa njoeni mjifariji hapa. Mungu atawakumbuka

Ukishindwana na mtu ni bora kuachana huyo sio mama au baba yako mzazi.
unaambiwa alichokiunganisha mungu mwanadamu asikitenganishe, ni kifo tu kitawatenganisha. Kama walifunga ndoa kanisani wataishi kwenye kiapo hiyo. Ila kama waliokotana mitaani njoo tuishi, mkishindwana ni bora muachane tu kwa amani kila mmoja ashike hamsini zake akatafute mwingine wanayeelewana
 
Back
Top Bottom