Siyo wote wanasheherekea,wengine tupo kazini hatuna habari na hivyo visikukuu vyenu
Silly answer,nguruwe ww
vipi tena mkuu
report abuse mkuu
Nenda kwa joice kiria kaandaa maji ya kunywa, anabatiza watoto anabariki ndoa na pia ni siku yake ya kuzaliwa.
Silly answer,nguruwe ww
Merry christmas wapendwa mlioko mikoani mtujuze mlivyosheherekea huko tushiriki pamoja mwageni mapicha hapa ya kanisani , kwa wale wachinja ndafu machalari mbege nawatakia sikukuu njema na mungu awabariki
Kiswahili kinanipa shida sana,lipi neno sahihi 'hebu' au 'hembu'