Hongera sana kwa Vijana wenzetu mliothubutu kumiliki hata Viwanja maeneo lulu kama Dodoma, Dar, Arusha na Mwanza. Ni mwanzo mzuri pambaneni mjenge sasa. Nyumba ni mwanzo mzuri wa kijana mwenye maono na akili ya kuwa na familia bora. Kazi iendelee
Kweli kabisa.Mie naheshimu sanaa mwenye nyumba yake hata chumba kimoja , shughuli ya ujenzi kwa mtu mwenye kipato cha kuunga unga sio ndogo aiseee
Ongeza juhudi mkuu!Na mimi mwenye kibanda cha udongo na sola yangu huku mwalusembe!?
Duuh!sawa mkuu.Pesa ya emergency lazima na wanashauri pia ukipata mtu makini kuna nyumba ya kawaida na gorofa ... Kweny gorofa unaweza kuweka pesa ya emergency hata zaidi ya mil 30 kwa wale waonfanya ujenzi wa moja kwa moja ili kumaliza.
Mara nyingi inaweza isitumike kabisa.
Kujipongeza huko!MNAJIPAKULIA MINYAMA SANA WATU MLIOJENGA
Nyumba ukiona imeisha kabisa na rangi na kila kitu,fahamu kuwa huyo mtu zimemtoka......Habari wanajf kwa ujumla,wakubwa shikamoo,wenzangu na mie mambo vipi poa,wadogo zangu,marahaba.Nimekuwa nikifuatilia sana mambo mbalimbali yanayohusu ujenzi na ushauri unaotolew kwa kweli!Nimeamini ndo maana wenye nyumba wanakuwa wakali!Ukiwacheleweshea kodi yao.Maana uhalisi wa makisio na yaliyopo field ni tofauti kwa sana.Matofali sawa,cementi sawa,mchanga sawa,lakini unakutana na gharama zingine ambazo hata hukuwaza kabisa!Kama vile kungoa visiki,mara wa kumwagilia,mara sururu,kuchimba msingi,ndoo cha kuchotea maji,kuchimba vyoo,kuweka mbao za kuweka renta na za kusimania na makorokoro kibao!Nawapa maua yenu wenye nyumba,punguzeni sasa kodi.
Ushauri mzuri na wewe pambanaHongera sana kwa Vijana wenzetu mliothubutu kumiliki hata Viwanja maeneo lulu kama Dodoma, Dar, Arusha na Mwanza. Ni mwanzo mzuri pambaneni mjenge sasa. Nyumba ni mwanzo mzuri wa kijana mwenye maono na akili ya kuwa na familia bora. Kazi iendelee
Kuna gharama zisizotajwa mara nyingi,utasikia mbao ,mirunda nk!Juzi hapa mzee wangu alikadiria kujenga fremu mbili za maduka kwa mil4, cha ajabu hadi anamaliza inagonga mil 10 kasoro
Binafsi nayapokea maua yangu. Kujenga, hasa nyumba ya kushi (wastage of money) si kazi ndogo, maana unawekeza milioni 80 ama 100 kwa nyumba ambayo haikuingizii chochote. Kikubwa ninachoshauri ni kuekeza katika nyuma za biashara (rest house, hoteli, godowns au fremu za maduka).Habari wanajf kwa ujumla,wakubwa shikamoo,wenzangu na mie mambo vipi poa,wadogo zangu,marahaba.Nimekuwa nikifuatilia sana mambo mbalimbali yanayohusu ujenzi na ushauri unaotolew kwa kweli!Nimeamini ndo maana wenye nyumba wanakuwa wakali!Ukiwacheleweshea kodi yao.Maana uhalisi wa makisio na yaliyopo field ni tofauti kwa sana.Matofali sawa,cementi sawa,mchanga sawa,lakini unakutana na gharama zingine ambazo hata hukuwaza kabisa!Kama vile kungoa visiki,mara wa kumwagilia,mara sururu,kuchimba msingi,ndoo cha kuchotea maji,kuchimba vyoo,kuweka mbao za kuweka renta na za kusimania na makorokoro kibao!Nawapa maua yenu wenye nyumba,punguzeni sasa kodi.
Haswa zimemtokaNyumba ukiona imeisha kabisa na rangi na kila kitu,fahamu kuwa huyo mtu zimemtoka......
Hapa ndipo ilipo changamoto mkuu.makisio na yaliyopo field ni tofauti kwa sana.
Uwe na pakuishi pako!kBinafsi nayapokea maua yangu. Kujenga, hasa nyumba ya kushi (wastage of money) si kazi ndogo, maana unawekeza milioni 80 ama 100 kwa nyumba ambayo haikuingizii chochote. Kikubwa ninachoshauri ni kuekeza katika nyuma za biashara (rest house, hoteli, godowns au fremu za maduka).
Kweli kabisa!Hakika wanastahili sifa
Utaambiwa wakumwagilia,mlinzi wa nondo na madilisha,milango,cement nkHapa ndipo ilipo changamoto mkuu.
Kabisa mkuu!Kujenga nyumba sio mchezo hasa kwa mtu mwenye kipato cha kawaida. Nimejionea mwenye katika nyumba mbili nilizosimamia saa nyingine unaweza kuhisi unaibiwa kumbe ndio matumizi.
Ila kuibiwa kupo sanaKujenga nyumba sio mchezo hasa kwa mtu mwenye kipato cha kawaida. Nimejionea mwenye katika nyumba mbili nilizosimamia saa nyingine unaweza kuhisi unaibiwa kumbe ndio matumizi.
Binafsi huwa naona ukiwa likizo/mapumziko ndio muda muafaka wa kufanya ujenzi. Kazi zingine nyepesi unazifanya mwenyewe.Utaambiwa wakumwagilia,mlinzi wa nondo na madilisha,milango,cement nk
Yaani hakukisekani hata ukiwepo hawa fundi maiko ni wajanja kinoma!Leo hii nimepigwa mfuko wa cement nikiwa site na fundi maiko m!Anadai kachanganya mchanga kumbe kapitisha kwa nyuma Maua mnastahili wenye nyumba.Ndo maana za urithi ni tamu kuuza.Ila kuibiwa kupo sana