Mliochaguliwa NIT tukutane hapa

Mliochaguliwa NIT tukutane hapa

aviJR

Member
Joined
Oct 1, 2015
Posts
77
Reaction score
6
Kwa wale Mliochaguliwa NIT first Year 2015 tuktane hapa Tupeane UPDATES maana nashanga WEBSITE YA CHUO ipo Down More than 3 weeks .

Hawa jamaa wapo serious Kweli?
 
Mbona mimi naifungua kila nikitaka, ila lazima utumie desktop, siyo simu zenu kama mlivyozoea
 
Mbona mimi naifungua kila nikitaka, ila lazima utumie desktop, siyo simu zenu kama mlivyozoea

kwa simu zetu mbn ni zaid ya desktop mkuu..
Hakuna option ambayo inakuwa set ubrowse website kwenye Desktop
 
Declaration to sponsor form kama Una mkopo nani atajaza
 
Usajili utaendelea mpaka lini wakuu, vp kwa sis tulofanya transfer kuja apo, bado confirmation atujapata tunaweza kuja ivoivo kuona kama jina lipo, tukaendelea na hatua zngine, msaada wakuu
 
Usajili utaendelea mpaka lini wakuu, vp kwa sis tulofanya transfer kuja apo, bado confirmation atujapata tunaweza kuja ivoivo kuona kama jina lipo, tukaendelea na hatua zngine, msaada wakuu

Njoo chuoni kupata Info za transfer
 
Huwezi amini sjaenda kuchukua Admission mpaka sasa ..vip mbn site yao ipo down siku zoote hzo ..hamjawauliza mkuu

Uuuuuwiii kachukue kabla hawajapoteza maana ijumaa walikuwa wametupa zote nje mtu anakuja anajicgukulia na zngine znapeperushwa na upepo
 
Kwa wale Mliochaguliwa NIT first Year 2015 tuktane hapa Tupeane UPDATES maana nashanga WEBSITE YA CHUO ipo Down More than 3 weeks .Hawa jamaa wapo serious Kweli?

Jamani tuelezeen kilichojir chuoni leoo,,, vip kwenye notes board hawajaeleza utaratibu wa sisi tuliopata mkopo?
 
Usajili utaendelea mpaka lini wakuu, vp kwa sis tulofanya transfer kuja apo, bado confirmation atujapata tunaweza kuja ivoivo kuona kama jina lipo, tukaendelea na hatua zngine, msaada wakuu

Njoo chuo utapewa admission
 
Jamani wana nit wa first year vip jaman mambo yanakwendaje huko chuo.

Bum watu washaanza ku sign? au bado,? naomba nijue wadau
 
Jamani wana nit wa first year vip jaman mambo yanakwendaje huko chuo.

Bum watu washaanza ku sign? au bado,? naomba nijue wadau

Vip jamani mliopo chuo mambo yanakwendaje huko
Usajili ni hadi uishe ndipo tu sign loan??? au ni vip???
 
Back
Top Bottom