Mliobadili ID....

Mliobadili ID....

Kuna fala alikuja kunitongoza akajua mi demu ...kidogo nimwanike
Mkuu hata Mimi ile avatar yako vilinipa fikra kuwa ni binti flan kisu sana.

Tongozo sio ajabu, wapo wengi tu wamekuwa wapenzi humu. Tusiumbuane turahisishiane kwa kuweka vijiutambulisho visivyo tuingiza chaka.
 
Mkuu hata Mimi ile avatar yako vilinipa fikra kuwa ni binti flan kisu sana.

Tongozo sio ajabu, wapo wengi tu wamekuwa wapenzi humu. Tusiumbuane turahisishiane kwa kuweka vijiutambulisho visivyo tuingiza chaka.
Huhuhuuuu!! Sio wewe kweli!!!
 
Nimecheki hiyo user name yako ya zamani nikajikuta hata sijawahi kuiona pia. So ngoja nipige kimya.
ID ya zamani nilikutongoza vizuri nikakosea jambo moja tu ukanikataa sasa nimekuja upya
 
Back
Top Bottom