Mlioachana na wake zenu wa ndoa, ushuhuda au ushauri wenu unahitajika tafadhali

Naona kabisa ndoa haina ahueni yoyote, migogoro haiishi na chanzo kikubwa ni ubishi na kiburi cha mke wangu, na pia baba mkwe anaongea sana maneno ya kumjaza kiburi bintiye, hilo ndio linapeleka zaidi ndoa yetu mtaroni.

Kama kuna ushauri naomba.

Kama kuna ushuhuda naomba, jinsi ilivyo ngumu kukabiliana na mazoe mwanzo.

Ahsante.
Huyo baba mkwe ni mtu wa Pwani 🤣🤣🤣
 
Mkuu

Hata kama yupo idle,yeye tumaini lake apate reaction lege lege ili aendelee

Kwa sisi wenye entropy kubwa ya energy sio ishu,atapata reaction kubwa kiasi kwamba ashangae yeye

Ila kwa watu wasio na energy au entropy ndogo,hua wanaweza wasijibu kabisa

Yote ni majibu na yote mawili sio majibu mazuri kwa huyo jamaa muulizaji

Regardless,huyo muulizaji anapata zero tu kwa wote wawili

Utasema,aah utakua umetumia enegery zako kumjibu,ni kweli,nina energy nyingi,ku-dispense some of it kwa huyu kichaa ni sawa

Energy imenizidi lazima nitafute pakuitolea...hivyo ukipata punguani kama hili lenye muda,ndio uzuri la kuchannel your energies to him

Ukiangalia kwa makini,huyo muulizaji sio mjanja kama unavyodhani
Ila we mwamba nimekuinulia mikono

Ila one thing is for sure you are unconventionally intelligent and blunt in your rhetoric ndo maana wabongo wanakuona upo rude. Washazoea kuishi kwenye ulimwengu wa fake nice.
 
hizi ni baadhi ya sababu ambazo humfanya mwanamke awe na kiburi ndoani:

1. humshirikishi/unamficha baadhi ya mambo kuhusu kipato chako
2.unampangia bajeti ya matumizi badala ya yeye kupanga
3. unamchunguza sana hadi anahisi umemuona malaya hivo muda mwingi anakisirani juu yako
4.humchochei vyema ukuni kama ilivyokua mwanzo wa mahusiano

chunguza katika hizo sababu kisha uifanyie kazi kupata suluhu ya changamoto yako.
5.Hapeleki misaada ukweni ndio maana wanaiingilia ndoa.
 
Naona kabisa ndoa haina ahueni yoyote, migogoro haiishi na chanzo kikubwa ni ubishi na kiburi cha mke wangu, na pia baba mkwe anaongea sana maneno ya kumjaza kiburi bintiye, hilo ndio linapeleka zaidi ndoa yetu mtaroni.

Kama kuna ushauri naomba.

Kama kuna ushuhuda naomba, jinsi ilivyo ngumu kukabiliana na mazoe mwanzo.

Ahsante.
Mke kiburi na Babamkwe anamjaza mwanae kiburi.
Unaishi na wakwe au karibu na ukweni?
Ndoa yako ina umri gani?
Kuachana inaweza kuwa au isiwe suluhu
 
Naona kabisa ndoa haina ahueni yoyote, migogoro haiishi na chanzo kikubwa ni ubishi na kiburi cha mke wangu, na pia baba mkwe anaongea sana maneno ya kumjaza kiburi bintiye, hilo ndio linapeleka zaidi ndoa yetu mtaroni.

Kama kuna ushauri naomba.

Kama kuna ushuhuda naomba, jinsi ilivyo ngumu kukabiliana na mazoe mwanzo.

Ahsante.
Mkuu kwanza pole sana kwa yaliyokukuta.
Nimefeel pain kwa sababu najua maumivu yake japo watu wanakupa majibu mepesi tu.
Kero kama hiyo imenitokea pia kwenye ndoa yangu na tumeshindwana juzi juzi tu hapa kasepa kwao.
Mimi msumbufu alikuwa ni mama mkwe pamoja na mashemeji wa kike.
Yaani walikuwa na makelele hadi kero.
Ndio sawa na hiyo yako wewe cha msingi tu ujiandae kisaikolojia kwa jambo lolote linaweza kujitokeza mbeleni cha msingi tu uwe na moyo mgumu na usipagawe kwa lolote litakalojitokeza mbeleni,kuwa jasiri.
 
ubishi wa kitu gani? na kiburi juu ya nini? funguka kijana usaidiwe...usitupe kazi wkt ww ndio mwenye kazi....!! demu, mchumba na ndoa ni vitu tofauti....wanandoa ni watu wawili walioamua kuishi kwa pamoja chini ya mwamvuli wa kidini...mke na mume...wakiokelewa ktk itikadi tofauti/malezi tofauti...na wenye tabia tofauti...sasa ili kuisha pamoja kwa utulivu ni kama unaongoza nchi baba mwenye nyumba...!! unatakiwa uwe kiongoZi kweli
1.Upendo 2.ukali 3.huruma 4.unoko 5.utata 6.ubishi 7.hekima nk...

usisahau watu wanatakiwa wale,wavae na wawe na furaha...

kwahiyo kuwa baba sio swala la kitoto kama unavyokuwa na demu kwamba akizingua kesho unapiga chini...

Be stable Man.
Nimekuelewa mkuu, nimejifunza pia.

Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
 
Naona kabisa ndoa haina ahueni yoyote, migogoro haiishi na chanzo kikubwa ni ubishi na kiburi cha mke wangu, na pia baba mkwe anaongea sana maneno ya kumjaza kiburi bintiye, hilo ndio linapeleka zaidi ndoa yetu mtaroni.

Kama kuna ushauri naomba.

Kama kuna ushuhuda naomba, jinsi ilivyo ngumu kukabiliana na mazoe mwanzo.

Ahsante.

Watoto?
 
mkuu...mie niliipiga marufuku mke kushtaki kwao...nikibolonga piga simu kwa mshenga,mjomba wangu au ndugu yangu...ila kwanza tunamalizana wwnyewe kwanza.

Swala la kukimbilia kwao sio afya..inachochea uasi sana na inaonekana labda kwao wako vzr kdg financialy na ww.kwenu chokest... lkn hiyo haikuondolei haki ya kuwa father house.

Be strong man je mke anafanya kazi gani?
Je ww ni mtu wa kanisa au msikiti?
je ndoa yenu ina muda gani
Matatizo yenu haswa yalianza lini?
Je mna watoto? wangapi?
Unafanya kazi aua baba wa nyumbani?
Mkeo anafanya kazi gani? je kakuzidi kipato?
Je unatabia ya kuangalia msgs au calls za mkeo na whatsap nk?
Mnapata muda wa kwenda out?
Ndoa ni furaha lkn hv karibuni imekuwa kitanzi sana kwa watu haswa za kikristo maana hili la kuachana mpaka kifo...watu wanishi na visonono sanaa.

Ukipata muda tutafutane tupige story...
Dini mkiristo
Ndio tupo jirani na familia.
Kipato hajanizidi/ hawajaizidi familia

Kusema ukweli matatizo hayajaanza baada ya ndoa, nilitumia vibaya kipindi cha uchumba ambao kimsingi ni muda wa kusomana tabia na kuchukua maamuzi, ila niliamua kuingia ndoani kwa kutanguliza matumaini kuwa labda...... Biggest mistake ever.



Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu kwanza pole sana kwa yaliyokukuta.
Nimefeel pain kwa sababu najua maumivu yake japo watu wanakupa majibu mepesi tu.
Kero kama hiyo imenitokea pia kwenye ndoa yangu na tumeshindwana juzi juzi tu hapa kasepa kwao.
Mimi msumbufu alikuwa ni mama mkwe pamoja na mashemeji wa kike.
Yaani walikuwa na makelele hadi kero.
Ndio sawa na hiyo yako wewe cha msingi tu ujiandae kisaikolojia kwa jambo lolote linaweza kujitokeza mbeleni cha msingi tu uwe na moyo mgumu na usipagawe kwa lolote litakalojitokeza mbeleni,kuwa jasiri.
Ahsante sana kwa ushuhuda mkuu.

Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom