Mlioa/kuolewa dini tofauti nahitaji ushauri

Mlioa/kuolewa dini tofauti nahitaji ushauri

Nimeoa Mke toka Familia ya Kiislamu, amebadili dini, maisha yanaendelea, kanisani huwa tunaenda wakati mwingine anachoka anapumzika namuacha, anasema ibada ya makanisa ya Kikokole inachukua muda mwingi sana. Anapenda RC.

Sent using Jamii Forums mobile app
wazazi wa huyo mwananke je wote waislamu?na wapo hai yaani mwanamke kubadili dini wakati wazazi wake waislamu ni ngumu,halafu ukute wazazi wanaishi pamoja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usibadili dini yako mkuu. Ww ndio mwanaume kichwa cha nyumba. Anatakiwa kufuate wewe si ww umfuate yeye.
Akikataa wako wengi wa dini yako tena material nzuri tu. So kuwa na subira
shukurani ila kubadili dini itakuwa ngumu maana nimesali kanisa la TAG tangu mdogo nibadili dini siwezi naona nalitosa kanisa langu

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama mwanaume mwenzako nakushauri usichanganye dini. Simamia msimamo wako mkuu. Kama ataamua kwenda sawa tu.
Utapata wa dini yako kama.. ni suala la muda
habarini wakuu katika pilika zangu za maisha nimebahatika kupata mchumba mwenyeji wa pemba muislamu safi,sasa mimi mkiristo yy anataka me nibadilishe dini niende uislamu lakini mimi sitaki nataka yy awe mkiristu anakataa anasema wazazi wake washika dini,yaani me kuwa muislamu siwezi halafu naogopa nikija kumuoa atawachanganya watoto dini kigezo changu awe mkiristu,yy hataki yaani nampenda nabaki na maumivu anataka tuachane kisa dini sijui nifanyaje

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
habarini wakuu katika pilika zangu za maisha nimebahatika kupata mchumba mwenyeji wa pemba muislamu safi,sasa mimi mkiristo yy anataka me nibadilishe dini niende uislamu lakini mimi sitaki nataka yy awe mkiristu anakataa anasema wazazi wake washika dini,yaani me kuwa muislamu siwezi halafu naogopa nikija kumuoa atawachanganya watoto dini kigezo changu awe mkiristu,yy hataki yaani nampenda nabaki na maumivu anataka tuachane kisa dini sijui nifanyaje

Sent using Jamii Forums mobile app
1.mwache kabisa ninayo experience ndio majirani zetu wanaroho mbaya jua hilo.
2.hawataki watu waendelee wanamauza uza .
3.wanapenda sana kuwawekea malimbwata waume zao utaishije na wanamajini napia niwatu wanafki.
4.niliwahi kuwa nao niwachukuliaji nyota study sio wake tu hata wanaume zao.
5.wanapenda muda mwingi kusengenya watu wanajiona wanadiriki kuudhi mtu kwa furaha yao.
Ukiwa nao hata huendelei kimaisha.
Nausibadili dini.
Kiufupi wewe ni mtoto wa nuru acha kuwafuata watoto wa giza utahimili majini yao.
Manukato na lifestyle yao?? Utaweza??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
habarini wakuu katika pilika zangu za maisha nimebahatika kupata mchumba mwenyeji wa pemba muislamu safi,sasa mimi mkiristo yy anataka me nibadilishe dini niende uislamu lakini mimi sitaki nataka yy awe mkiristu anakataa anasema wazazi wake washika dini,yaani me kuwa muislamu siwezi halafu naogopa nikija kumuoa atawachanganya watoto dini kigezo changu awe mkiristu,yy hataki yaani nampenda nabaki na maumivu anataka tuachane kisa dini sijui nifanyaje

Sent using Jamii Forums mobile app
binadamu dini tunazikuta na kuzirith hatuzaliwi nazo ni mapokeo toka kwa waliotulea ( mm ni non belver lakin nipo na nafuata tamaduni za warabu/ waislam)
 
1.mwache kabisa ninayo experience ndio majirani zetu wanaroho mbaya jua hilo.
2.hawataki watu waendelee wanamauza uza .
3.wanapenda sana kuwawekea malimbwata waume zao utaishije na wanamajini napia niwatu wanafki.
4.niliwahi kuwa nao niwachukuliaji nyota study sio wake tu hata wanaume zao.
5.wanapenda muda mwingi kusengenya watu wanajiona wanadiriki kuudhi mtu kwa furaha yao.
Ukiwa nao hata huendelei kimaisha.
Nausibadili dini.
Kiufupi wewe ni mtoto wa nuru acha kuwafuata watoto wa giza utahimili majini yao.
Manukato na lifestyle yao?? Utaweza??

Sent using Jamii Forums mobile app
We jini unamjua? Huko kanisani ndio mnavyofundishwa kuwa waislam wana majini?

Sent using my Nokia Torch
 
habarini wakuu katika pilika zangu za maisha nimebahatika kupata mchumba mwenyeji wa pemba muislamu safi,sasa mimi mkiristo yy anataka me nibadilishe dini niende uislamu lakini mimi sitaki nataka yy awe mkiristu anakataa anasema wazazi wake washika dini,yaani me kuwa muislamu siwezi halafu naogopa nikija kumuoa atawachanganya watoto dini kigezo changu awe mkiristu,yy hataki yaani nampenda nabaki na maumivu anataka tuachane kisa dini sijui nifanyaje

Sent using Jamii Forums mobile app
Achana nae katafute mkristo mwenzako
 
Ni upumbavu sana kukosa mke wa maisha yako eti kwa sababu ya upumbavu wa dini ulioletwa na wakoloni baada ya mababu zetu kichinjwa sana ili wakubali .Ushauri wangu ambao na mimi nimepitia hali hiyo na sasa naishi na mke wangu kwa amani na upendo.
usibadili imani yako kama wewe ni mfia dini, ila nenda kaoe kwa tamaduni na imani za upande wa mkeo huku moyoni mwako ukiwa na msimamo wako.fata utaratibu wao wote chukua mke wako ondoka nae ,maisha yenu ya nyumbani ni maamuzi yako, wewe ndio baba ,wewe ndio kichwa utaishi vile utakavyo na watoto wewe ndio ukoo wako sidhani kama mama atakushinda nguvu.naamini hata huyo dada atakuelewa maana kwa sasa anaogopa tu wazazi wake sio kama hataki kukufuata
 
Mungu akusamehe... Pole sana
1.mwache kabisa ninayo experience ndio majirani zetu wanaroho mbaya jua hilo.
2.hawataki watu waendelee wanamauza uza .
3.wanapenda sana kuwawekea malimbwata waume zao utaishije na wanamajini napia niwatu wanafki.
4.niliwahi kuwa nao niwachukuliaji nyota study sio wake tu hata wanaume zao.
5.wanapenda muda mwingi kusengenya watu wanajiona wanadiriki kuudhi mtu kwa furaha yao.
Ukiwa nao hata huendelei kimaisha.
Nausibadili dini.
Kiufupi wewe ni mtoto wa nuru acha kuwafuata watoto wa giza utahimili majini yao.
Manukato na lifestyle yao?? Utaweza??

Sent using Jamii Forums mobile app

""...IF PIANO IS OUT OF TUNE, THE MUSICIAN WILL FAIL, NO MATTER HOW MUCH OF A MUSICIAN HE MAY BE...""
 
habarini wakuu katika pilika zangu za maisha nimebahatika kupata mchumba mwenyeji wa pemba muislamu safi,sasa mimi mkiristo yy anataka me nibadilishe dini niende uislamu lakini mimi sitaki nataka yy awe mkiristu anakataa anasema wazazi wake washika dini,yaani me kuwa muislamu siwezi halafu naogopa nikija kumuoa atawachanganya watoto dini kigezo changu awe mkiristu,yy hataki yaani nampenda nabaki na maumivu anataka tuachane kisa dini sijui nifanyaje

Sent using Jamii Forums mobile app

MKRISTO SAFI vs MUISLAMU SAFI.

I wonder how you two came to be tangled together!
 
habarini wakuu katika pilika zangu za maisha nimebahatika kupata mchumba mwenyeji wa pemba muislamu safi,sasa mimi mkiristo yy anataka me nibadilishe dini niende uislamu lakini mimi sitaki nataka yy awe mkiristu anakataa anasema wazazi wake washika dini,yaani me kuwa muislamu siwezi halafu naogopa nikija kumuoa atawachanganya watoto dini kigezo changu awe mkiristu,yy hataki yaani nampenda nabaki na maumivu anataka tuachane kisa dini sijui nifanyaje

Sent using Jamii Forums mobile app
piga chini! hmna ndoa hapo, mtahishia kulumbana na kugombana siku za usoni!
 
1.mwache kabisa ninayo experience ndio majirani zetu wanaroho mbaya jua hilo.
2.hawataki watu waendelee wanamauza uza .
3.wanapenda sana kuwawekea malimbwata waume zao utaishije na wanamajini napia niwatu wanafki.
4.niliwahi kuwa nao niwachukuliaji nyota study sio wake tu hata wanaume zao.
5.wanapenda muda mwingi kusengenya watu wanajiona wanadiriki kuudhi mtu kwa furaha yao.
Ukiwa nao hata huendelei kimaisha.
Nausibadili dini.
Kiufupi wewe ni mtoto wa nuru acha kuwafuata watoto wa giza utahimili majini yao.
Manukato na lifestyle yao?? Utaweza??

Sent using Jamii Forums mobile app
dah #katoto kazuri umeongea mengi inabidi nichukue ushauri wako kama point muhimu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
achana naiyo kitu,inatesaaa mnooo
yan kwa kifup achana na icho kehere here wenzio tunajuta


Sent from my iPhone using JamiiForums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom