Mlioa/kuolewa dini tofauti nahitaji ushauri

Mlioa/kuolewa dini tofauti nahitaji ushauri

Ni upumbavu sana kukosa mke wa maisha yako eti kwa sababu ya upumbavu wa dini ulioletwa na wakoloni baada ya mababu zetu kichinjwa sana ili wakubali .Ushauri wangu ambao na mimi nimepitia hali hiyo na sasa naishi na mke wangu kwa amani na upendo.
usibadili imani yako kama wewe ni mfia dini, ila nenda kaoe kwa tamaduni na imani za upande wa mkeo huku moyoni mwako ukiwa na msimamo wako.fata utaratibu wao wote chukua mke wako ondoka nae ,maisha yenu ya nyumbani ni maamuzi yako, wewe ndio baba ,wewe ndio kichwa utaishi vile utakavyo na watoto wewe ndio ukoo wako sidhani kama mama atakushinda nguvu.naamini hata huyo dada atakuelewa maana kwa sasa anaogopa tu wazazi wake sio kama hataki kukufuata
shukrani mkuu hapo sawa ila wasiwasi watoto wasije kuwa waislamu wakaniacha ukiristo peke yangu maana wanawake wananguvu ya ushawishi kwa watoto

Sent using Jamii Forums mobile app
 
shukrani mkuu hapo sawa ila wasiwasi watoto wasije kuwa waislamu wakaniacha ukiristo peke yangu maana wanawake wananguvu ya ushawishi kwa watoto

Sent using Jamii Forums mobile app
mtoto atachagua dini akifika miaka 18.mimi nimelelewa na mama yangu muislam ila nimeamua kumfata baba yangu mkristo nikiwa na akili zangu timamu huku nikioa mke muislam lakini tunafata taratibu za kikristo kwenye familia yangu na maisha ni mazuri ya furaha na amani.
usiwe mtumwa wa dini katika maisha yako binafsi
 
Dini zina maana kubwa sana katika mstakabali wa ndoa tulivu.. Ni mara chache dini tofauti hasa za kikristu na kiislam zikajenga ndoa yenye utulivu kamili hasa kutokana na upishano mkubwa wa kiimani. Kila mmoja abaki na msimamo wake na mpeane nafasi ya kutafuta wenza wa imani zenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani wakristo wameisha?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana chrs.hawajaisha wapo wengi..!!
ila hapo Pemba Kuna uturi mnono,Manukato, Usafi wa mwili,Ustaarabu wa Hali juu ,mapishi,mahaba,Maneno mataamu,mavazi ya stara, ulinzi wa ndoa na mali za mume,Heshima kea Wazazi na nduguzo wa mume nk nk..

kinywanyuku ndg Mpendwa maisha ni mafupi .."ingia kwa Salaam na Amani' Hakuna tofauti kubea utaona mengi ya kufuata !! peace be upon you.!!
You won't regret.most welcom
 
Hapana chrs.hawajaisha wapo wengi..!!
ila hapo Pemba Kuna uturi mnono,Manukato, Usafi wa mwili,Ustaarabu wa Hali juu ,mapishi,mahaba,Maneno mataamu,mavazi ya stara, ulinzi wa ndoa na mali za mume,Heshima kea Wazazi na nduguzo wa mume nk nk..

kinywanyuku ndg Mpendwa maisha ni mafupi .."ingia kwa Salaam na Amani' Hakuna tofauti kubea utaona mengi ya kufuata !! peace be upon you.!!
You won't regret.most welcom
nashukuru mkuu ila kubadilisha dini mwanaume ni aibu,nimewaza nimeamua kuachana nae japo nampenda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nashukuru mkuu ila kubadilisha dini mwanaume ni aibu,nimewaza nimeamua kuachana nae japo nampenda

Sent using Jamii Forums mobile app
Oooh !! Laa Laa .No No Man that was Gift from your God!! Kwa sbb ilikuwa ndani ya moyo wako.... !! Sikia Mkuu Dini hizi mbili Zina mambo yanaShabihiana na kulingana kwa namna kadha wa kadhaa... Waweza adjust na kujenga!! Usipoteze riziki kwa kushinikizwa na hisia!!
NiAmini utapata faida mbili kubwa Uislam na Madame aliyejikita ktk maadili na Noor !!
Naomba mfikishie Salaam na mubarikiwe vizazi vyema.. Allahuma Ameen
 
Oooh !! Laa Laa .No No Man that was Gift from your God!! Kwa sbb ilikuwa ndani ya moyo wako.... !! Sikia Mkuu Dini hizi mbili Zina mambo yanaShabihiana na kulingana kwa namna kadha wa kadhaa... Waweza adjust na kujenga!! Usipoteze riziki kwa kushinikizwa na hisia!!
NiAmini utapata faida mbili kubwa Uislam na Madame aliyejikita ktk maadili na Noor !!
Naomba mfikishie Salaam na mubarikiwe vizazi vyema.. Allahuma Ameen
amen

Sent using Jamii Forums mobile app
 
habarini wakuu katika pilika zangu za maisha nimebahatika kupata mchumba mwenyeji wa pemba muislamu safi,sasa mimi mkiristo yy anataka me nibadilishe dini niende uislamu lakini mimi sitaki nataka yy awe mkiristu anakataa anasema wazazi wake washika dini,yaani me kuwa muislamu siwezi halafu naogopa nikija kumuoa atawachanganya watoto dini kigezo changu awe mkiristu,yy hataki yaani nampenda nabaki na maumivu anataka tuachane kisa dini sijui nifanyaje

Sent using Jamii Forums mobile app
Usibadili dini kwa sababu yake,badili kwa kuwa uislamu ndio pekee inayofuata matakwa ya Allah.
Nakushauri njo kwenye uislamu c kwa sababu yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom