Mlioa/kuolewa dini tofauti nahitaji ushauri

Mlioa/kuolewa dini tofauti nahitaji ushauri

Hahaahaaa....
Kweli ujinga ni sawa na furushi la mavi na usipo lituwa kwa harufu yake, basi utalishusha kwa uzito wake
Hahahah nakumanya chalyangu, ubaya wajinga hawatakaa waishe kamwe! Mpaka mwisho wa dunia!
 
Kwa kuja tu kuuliza hili swali ni ishara tosha kuwa wewe ni mwenda kanisani tu na sio mkristo.

"Msifungiwe nira na wasio amini" hiyo nira inaenda mbali hadi kuhusisha ndoa. Hakuna ndoa ya watu wenye imani tofauti, mtapata taabu na kuwapa taabu tu watoto.
 
habarini wakuu katika pilika zangu za maisha nimebahatika kupata mchumba mwenyeji wa pemba muislamu safi,sasa mimi mkiristo yy anataka me nibadilishe dini niende uislamu lakini mimi sitaki nataka yy awe mkiristu anakataa anasema wazazi wake washika dini,yaani me kuwa muislamu siwezi halafu naogopa nikija kumuoa atawachanganya watoto dini kigezo changu awe mkiristu,yy hataki yaani nampenda nabaki na maumivu anataka tuachane kisa dini sijui nifanyaje

Sent using Jamii Forums mobile app

Hayo mambo yanatesa sana, achana naye huyo dada.
 
Katika maisha hayo ya ndoa Imani ni jambo la msingi la kuangalia. Usibadili dini sababu ya ndoa tuu bali amua kubadili dini kwa kupenda imani hiyo na kuridhia kuifuata bila kusukumwa na kitu chochote nyuma yake.

2 Wakorintho 6:14 "Msifungiwe nira na wasioamini" utamalizia mstari wote. All the best katika maamuzi utakayochukua na usiache kumshirikisha Mungu

Happiness is a choice
 
Yeah mi nikipenda huwa hamna kitu kinaweza ingilia hapo kati zaidi ya kifo!
wengine dini kwanza hakuna kitu kinaleta raha kama couple yako ikiwa dini moja,sio dini tofauti watoto mara huku huku inakera sana halafu isitoshe wanawake wanaushaeishi mkubwa kwa watoto wakiwaambia kitu hawaachi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wengine dini kwanza hakuna kitu kinaleta raha kama couple yako ikiwa dini moja,sio dini tofauti watoto mara huku huku inakera sana halafu isitoshe wanawake wanaushaeishi mkubwa kwa watoto wakiwaambia kitu hawaachi

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama umekulia kwenye wazazi wa dini moja we komaa tu mzee baba! Kwangu mie makes no difference afterall dini sio kitu cha maana sana kiasi cha kunilitea vikwazo kwenye maisha yangu japo naamini katika mungu mmoja!

Naweza kuwa mkristo ama nikawa muislamu as i wish but kikubwa tu i believe in the Almighty God! Watoto wangu wakikua pia watachagua which is the best, ukristo au uislamu! I wont tie them to any side!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom