....Tena hata msanii aliyeuimba....namjua ....si ..si yule anaitwa Malow!!!Teh, teheeeeeeeee!Dingi kanunua simu, amekaa sebuleni na katoto kake anatest mlio, mara dingi ushuzi ukamtoka 'pwi pwii'.
Mtoto "Baba huo huo nimeupenda kwa kuwa una harufu pia"
hata mimi niliwahi kushudia jamaa amebeba jeneza maiti inatolewa ndani mara simu ikaita inaimba (kimasomaso mwanangu msimuone kwajicho la adui mwanangu msimuone) jamaa kuzima simu anashindwa kuachia jeneza anashindwa watu wamebaki wameduaa na simu ya kichina ilivyo na sauti
Ilitokea mwaka jana pale msikiti wa Bondeni Arusha wakati wa sala ya ijumaa. Jamaa na simu yake ya mchina ikaanza kuita, mbaya zaidi ringtone ilikuwa "Nibebe" ya Rose Mhando! Baada ya sala jamaa alichezea kichapo cha hatari.
jamaa mmoja alikuwa ndiyo kwanza ameamka anajiandaa kwenda kuoga, huku akiwa amevaa taulo tu bila chupi ndani.
mtoto mdogo alikuwa analia , akaamua kukachukua kale katoto kake na kuanza kukarusha rusha kukabembeleza
ghafla taulo likamvuka.... du
Ahahahaaaah!!!mbona hiyo ni ishu ndogo tu. Yani huyo huyo mtoto ndiyo atakuwa kizibio changu baada ya kumdaka na kuinama kidogo kwa mbele ili kujikunja nisiweke mambo hadharani kwa % zote. Na kila mwenye heshima zake naamini hatonikodolea mimacho kuniangalia.
ha ha ha ha haDingi kanunua simu, amekaa sebuleni na katoto kake anatest mlio, mara dingi ushuzi ukamtoka 'pwi pwii'.
Mtoto "Baba huo huo nimeupenda kwa kuwa una harufu pia"
hata mimi niliwahi kushudia jamaa amebeba jeneza maiti inatolewa ndani mara simu ikaita inaimba (kimasomaso mwanangu msimuone kwajicho la adui mwanangu msimuone) jamaa kuzima simu anashindwa kuachia jeneza anashindwa watu wamebaki wameduaa na simu ya kichina ilivyo na sauti
Dingi kanunua simu, amekaa sebuleni na katoto kake anatest mlio, mara dingi ushuzi ukamtoka 'pwi pwii'.
Mtoto "Baba huo huo nimeupenda kwa kuwa una harufu pia"