Mlinzi wa Mbowe ajiunga CCM, Chama kinakufa

Mlinzi wa Mbowe ajiunga CCM, Chama kinakufa

...chadema kweli noma, ! Tetesi za mlinzi tu mpaka magogona wako barabarani kushangilia !?...
 
kwani kuhama kwa mlinzi ndio kioja mbona kahama shibuda na ccm haikufa?huo muono hafifu
 
hahahaha yule mlinzi wa pale club bilicanas alyekamatwa akiwaibia wateja leo kajiunga ccm imekuw story kwa magamba
 
Chama kimeshazikwa tayari hiki kumebakia matanga tu.
 
Yaani hata mkitoa matusi lakini mmepigwa kipigo cha Nyani huko chalinze na bado mtabwagwa chini 2015. Nyie CHADEMA mmezoe matusi tu kila wakati mkidhania kuwa ndio siasa. Wananchi tayari wamewashutukia mtazidi kupigwa chini tuuuuu.
Mnatuharibia jukwaa! ni bora kukaa kimya
 
Mbowe na mlinzi wake wate watu wa system kama mrema tu
 
Wee mwenyewe mwizi, siku ukikamatwa lazima upitishiwe chupa

Kikwete ni mwizi, ila kwakuwa hajakamatwa tunamwita Rais. Akikamatwa tutamwita mwizi.............. Wewe Chupa haitoshi labda pembe ya ndovu tukuingizie maana wizi wako ni hatari hata kwako
 
Watu wengine akili zao finyu sana sasa Mlinzi akihama ni shida gani iko hapo??!!beside hivi vyama sisi ni Wanadamu tu, ni Waafrika basi, sasa badala ya kujadili vitu vya maana mtu anasema eti mlinzi kahama so what??!!! tatizo mnawaza sana kwa kutumia matumbo yenu...
 
masikini jamani mradi unakufa kimya kimya
 
Kwa hali hii tayari CCM wana asilimia 60 za ushindi kwenye uchaguzi wa 2015,sijui hadi kufikia disemba mwaka huu haitakuwa 100%????
 
Hivi gazeti la habari leo linauzwaje? Someni -----.RAIA MWEMA,MWANANCHI na NIPASHE zimechujwa na kuhaririwa vizuri
 
chadema kufa,utasubiri sana kama kusubiri meli kutia nanga JKNIA
 
Aliyekuwa mlinzi na msaidizi wa Mwenyekiti wa Chadema amejiunga na CCM, itakumbukwa pia dada yake Mbowe ambae sasa ni Marehemu aliwahi kujiunga na CCM.

Huu ni ushahidi kuwa chama kinakufa kifo cha taratibu kabisa, watu wa karibu na Mwenyekiti wanahama na kujiunga CCM, Mbowe anawafanya nini?
Kuna nini cdm?

Source: Jambo leo.
Kumbe mlinzi tu. Mimi nilifikiri mwanachama. Ccm kweli sasa hivi mnashuta na mnaacha harufu kali.
 
Back
Top Bottom