Mlinzi wa Mbowe ajiunga CCM, Chama kinakufa

Mlinzi wa Mbowe ajiunga CCM, Chama kinakufa

kwa CHADEMA hii ilipofikia hats akiondoka nani chama hakiwezi yumbaa wala kufa,chama lishakomaa jomba...
 
jhamba leo has never been a credible source, never! Hata shetani anajua
 
chama sio undugu wala ukabila kama wafanyavyo ccm huko kwenu, mlinz wa geti nae mwanachama ? shame on u
 
Yaani hata mkitoa matusi lakini mmepigwa kipigo cha Nyani huko chalinze na bado mtabwagwa chini 2015. Nyie CHADEMA mmezoe matusi tu kila wakati mkidhania kuwa ndio siasa. Wananchi tayari wamewashutukia mtazidi kupigwa chini tuuuuu.

jipeni matumaini kwani jimbo lilikuwa chni ya Chadema hlo mbona hufikirii wewe kwanza kura kutoka elfu thelathini na mbili mpaka elfu ishirin hapo nani anaporomoka kama si ccm tatizo lenu mnajipa matumaini kwa kuipondea Chadema mngekuwa mnafanyia wananch mambo wanayo yataka msingehangaika kuitetea Ccm mitandaoni bila kutumia facts
 
CHADEMA ni deal kali, nawashauri watanzania waliopigika kwa kukosa karo za watoto, kodi za nyumba na hata fedha ya kula changamkia deal na ccm, wewe nunua kadi ya cdm shs.500/= halafu irejeshe ccm, kwa bei ya chini ni laki 500,000/=. Na viongozi wa cdm msisite kutupatia kadi za cdm kwani tunatafuta riziki lakini mioyo yetu ni Chadema tuuu!
 
Loading...........................bado nasherekea ushindi wa chalinze na ivi leo siku ya mapumziko hahaha

Wewe ukishangilia hivo na Riz1 atafanya nini? get on your senses man, huo ubunge ni wa kwake kazi yenu wapambe imeisha, mlishalipwa pilau tayari, kifuatacho ni nyie kulipa gharama za kampeini.
 
just mlinzi?

kweli chalinze kwanza, chama baadae!-- riziwan kikwete..
 
Chonde chonde chadema fuateni ushauri wa prof. Baregu
 
CHADEMA ni deal kali, nawashauri watanzania waliopigika kwa kukosa karo za watoto, kodi za nyumba na hata fedha ya kula changamkia deal na ccm, wewe nunua kadi ya cdm shs.500/= halafu irejeshe ccm, kwa bei ya chini ni laki 500,000/=. Na viongozi wa cdm msisite kutupatia kadi za cdm kwani tunatafuta riziki lakini mioyo yetu ni Chadema tuuu!

Peleka kadi na ndogo wanakula maana nyie CDM mnaakili za kujiuza tu.
 
Aliyekuwa mlinzi na msaidizi wa Mwenyekiti wa Chadema amejiunga na CCM, itakumbukwa pia dada yake Mbowe ambae sasa ni Marehemu aliwahi kujiunga na CCM.

Huu ni ushahidi kuwa chama kinakufa kifo cha taratibu kabisa, watu wa karibu na Mwenyekiti wanahama na kujiunga CCM, Mbowe anawafanya nini?
Kuna nini cdm?

Source: Jambo leo.

Badili Avatar yako ili isomeke c.h.u...p...! Hiyo ndio itaendana na akil zako! Iga mfano wa mwenzako MSALANI!@Chuki.
 
Yaani hata mkitoa matusi lakini mmepigwa kipigo cha Nyani huko chalinze na bado mtabwagwa chini 2015. Nyie CHADEMA mmezoe matusi tu kila wakati mkidhania kuwa ndio siasa. Wananchi tayari wamewashutukia mtazidi kupigwa chini tuuuuu.

Fikra mgando!@chokonolewa!
 
Nasubiria atakapohama na mpishi wa Mbowe mje kutuambia!
 
amechoka kutumwa kuteka watu na kukipua mabomu
 
K.M.M Wanaume tunakata issue kubwa kubwa unatuambia hadithi za mlinzi wa getini kujiunga na wenzake
 
Godless Lema,Kurugenzi ya Habari, Dr Slaa, Ben Saanane
Njooni mtueleze ukweli.

Kuna siku mmbwa wa Mbowe ataenda kwa majirani zake ccm na watu wataandika mmbwa wa Mbowe ahamia ccm!!!.
 
... Huu ni ushahidi kuwa chama kinakufa kifo cha taratibu kabisa, ...
Kama mlinzi kujiunga na chama kingine ni dalili ya kufa kwa chama alichohama, sasa sijui huyu mtoto wa Wassira kuhama CCM ni dalili ya nini !!

attachment.php
 
Back
Top Bottom