Mlinzi wa Mbowe ajiunga CCM, Chama kinakufa

Mlinzi wa Mbowe ajiunga CCM, Chama kinakufa

chuki

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2011
Posts
2,715
Reaction score
534
Aliyekuwa mlinzi na msaidizi wa Mwenyekiti wa Chadema amejiunga na CCM, itakumbukwa pia dada yake Mbowe ambae sasa ni Marehemu aliwahi kujiunga na CCM.

Huu ni ushahidi kuwa chama kinakufa kifo cha taratibu kabisa, watu wa karibu na Mwenyekiti wanahama na kujiunga CCM, Mbowe anawafanya nini?
Kuna nini cdm?

Source: Jambo leo
Claude Mosha ambae ni mlinzi wa club ya usiku ya Bilicanas inayomilikiwa na mfanyabiashara ambae pia ni mwenyekiti wa Chadema Mh Freeman Mbowe amejiunga na ccm.

Hili lilifuatiwa baada ya mlinzi huyo kukamatwa akiwaibia wateja waliofika klabuni hapo kuburudisha akili zao,

Tarehe 10/3/2014 usiku katika sehemu ya maegesho ya klabu hiyo Mosha alikutwa na walinzi wenzake akivunja vioo vya moja ya gari la mteja wa klabu hiyo aliyefahamika kwa jina la Mr Gash,

Sakata hili lilifikishwa mbele ya uongozi wa klabu hiyo, na Mosha akasimamishwa kusibiri adhabu ya mwajiri wake aliyekuwa safarini wakati wa tukio,

Wiki iliyopita mtuhumiwa akakimbilia ccm ambako ni makazi ya wezi na vibaka nchini.
 
Nashangaa Mbowe anamsema zitto kabwe jimboni kwake anauza kata kwa ccm,yeye mbona jamaa zake wa karibu(Nyumba moja) wanahamia ccm?
Huyo mlinzi ni yupi?Deo?yule ambaye alishiriki kumwagia tindikali kubenea?
Mbowe anaishi kwa upanga kitu ambacho sio kizuri katik medani za siasa amejawa na visasi na umafia
 
Huu ni ung'ombe sasa mbona lissu cdm kaka yake ccm ni dhambi alafu ukisikia mlinzi usije dhani ni bodi gadi ni mlinzi wa getini (mmasai) we soma jambo leo kama hujaendelea kuwa na fikra finyu tu
 
Huyo mlinzi na hata dada yake Mbowe sio waanzilishi wa CHADEMA, kwa hiyo chama hakiwezi kufa kwa wao kujitoa na au kukihama, siku utakaposikia moja ya waanzilishi wa chama wamekihama basi ujue huo ndo mwanzo wa mwisho wa chama.
 
Godless Lema,Kurugenzi ya Habari, Dr Slaa, Ben Saanane
Njooni mtueleze ukweli.
 
Aliyekuwa mlinzi na msaidizi wa Mwenyekiti wa Chadema amejiunga na CCM, itakumbukwa pia dada yake Mbowe ambae sasa ni Marehemu aliwahi kujiunga na CCM.

Huu ni ushahidi kuwa chama kinakufa kifo cha taratibu kabisa, watu wa karibu na Mwenyekiti wanahama na kujiunga CCM, Mbowe anawafanya nini?
Kuna nini cdm?

Source: Jambo leo.

Ajabu ni nini?? ndio demokrasia nyang'au wewe.hata Mbowe mwenyewe akiamua anakuwa CCM ila chadema kipo palepale.
 
Aliyekuwa mlinzi na msaidizi wa Mwenyekiti wa Chadema amejiunga na CCM, itakumbukwa pia dada yake Mbowe ambae sasa ni Marehemu aliwahi kujiunga na CCM.

Huu ni ushahidi kuwa chama kinakufa kifo cha taratibu kabisa, watu wa karibu na Mwenyekiti wanahama na kujiunga CCM, Mbowe anawafanya nini?
Kuna nini cdm?

Source: Jambo leo.

Hata akitoka Mbowe mwenyewe hautushawishi tuunge mkono Chama cha zamani. Kutoka kwao CDM sio kutoka kwa ari na moyo wa kupigania uhuru wa pili wa Mtanganyika. TUTAKOMAA TU.
 
Kuna tetesi pia yule mke wa zamani wa mbowe anataka kujiunga na ccm,mbowe atakufa kwa presha mwaka huu
 
aliyekuwa mlinzi na msaidizi wa mwenyekiti wa chadema amejiunga na ccm, itakumbukwa pia dada yake mbowe ambae sasa ni marehemu aliwahi kujiunga na ccm.
visa vya mbowe vipo wazi sana kama ukiamua kufuatilia hafai kuishi na watu.
nashangaa mbowe anamsema zitto kabwe jimboni kwake anauza kata kwa ccm,yeye mbona jamaa zake wa karibu(nyumba moja) wanahamia ccm?
chama lilishakufa kitambo
kuna tetesi pia yule mke wa zamani wa mbowe anataka kujiunga na ccm,mbowe atakufa kwa presha mwaka huu
udini,.. Udini!... Wafuasi wa zitto kazini.
 
Aliyekuwa mlinzi na msaidizi wa Mwenyekiti wa Chadema amejiunga na CCM, itakumbukwa pia dada yake Mbowe ambae sasa ni Marehemu aliwahi kujiunga na CCM.

Huu ni ushahidi kuwa chama kinakufa kifo cha taratibu kabisa, watu wa karibu na Mwenyekiti wanahama na kujiunga CCM, Mbowe anawafanya nini?
Kuna nini cdm?

Source: Jambo leo.
Mwanaume anapokuwa kwenye Per.iod ni abnormality matokeo yake hata ubongo wake huwa una-drift.Hebu jaribu kupata ushauri kabla ya kubwabwaja izi tungo zako ziso na hata chembe ya ufikiri wa kisayansi hata kupitia ulevi wa chang`aa..
Alikufa Nyerere CCM ipo,Kafa Karume CCM ipo..Kaondoka Kaburu CDM kule Kigoma ,CDM ipo,Kafa Chacha Wangwe CDM ipo,Kaondoka Slaa CCM bado chama kipo, au chama ni mtu mmoja kwa tafsiri yako?Kama ndivyo chama kinachoongoza kwa kuhamwa ni CCM kwani karbu viongozi wote waanzilishi wa vyama walitokea CCM hata majimbo karibu yote yanayoongozwa na wapinzani yalikuwa CCM kabla ya 1995,Wewe unazungumzia Mlinzi wa Mbowe ambaye hatuna hakika kama alikuwa mwanachama shame upon your ugly face!
 
Unawezaje kudai kuwa unajitahidi kuzuia vifo kwa kuonyesha idadi kubwa ya makaburi?
 
Mwanaume anapokuwa kwenye Per.iod ni abnormality matokeo yake hata ubongo wake huwa una-drift.Hebu jaribu kupata ushauri kabla ya kubwabwaja izi tungo zako ziso na hata chembe ya ufikiri wa kisayansi hata kupitia ulevi wa chang`aa..
Alikufa Nyerere CCM ipo,Kafa Karume CCM ipo..Kaondoka Kaburu CDM kule Kigoma ,CDM ipo,Kafa Chacha Wangwe CDM ipo,Kaondoka Slaa CCM bado chama kipo, au chama ni mtu mmoja kwa tafsiri yako?Kama ndivyo chama kinachoongoza kwa kuhamwa ni CCM kwani karbu viongozi wote waanzilishi wa vyama walitokea CCM hata majimbo karibu yote yanayoongozwa na wapinzani yalikuwa CCM kabla ya 1995,Wewe unazungumzia Mlinzi wa Mbowe ambaye hatuna hakika kama alikuwa mwanachama shame upon your ugly face!


Yaani hata mkitoa matusi lakini mmepigwa kipigo cha Nyani huko chalinze na bado mtabwagwa chini 2015. Nyie CHADEMA mmezoe matusi tu kila wakati mkidhania kuwa ndio siasa. Wananchi tayari wamewashutukia mtazidi kupigwa chini tuuuuu.
 
Back
Top Bottom