Polisi na wote walio nyuma ya hili la kumfikisha mlinzi huyo mahakamani nawashauri ondoeni, ni aibu kwenu na pigo katika uchaguzi ujao. Mnajua maana ya kumiliki kitu, nyie jiondoeni ufahamu tu mwisho utauona. Uonevu huo, mnajua wazi huyo mlinzi hamiliki hiyo silsha wala hizo risasi, mnamjua mmiliki wake, kova aliroka kuwa Gwajima haimiliki kihalali kwani hana kibali baadaye kwa aibu akasema ni yake na ana kibali, sasa mnakuja kwa mlinzi wake anaimiliki isivyo halali. Mnataka tupate picha kuwa mlitaka kumuua mkadhindwa baada ya kuagiza silaha na sasa mna hasira na mlinzi iliyebeba begi la gwajima kumpelekea hospitali.
Hawa mawakili wa serikali nao wanakubali kuendesha shatakankama hilo wakijua hawana cha kupoteza wakishinda au wakishindwa, serikali italipa tu. Tanzania htuna utaratibu wa kudai mabilioni kwa kuzushiwa mambo na polisi, wangekuwa na adabu.
Mkae mkijua mungu yupo na anawaona. Kama sio leo ni kesho