Chadema mmumlipe vizuri,mshaara wa laki 4 kwa mwezi kama mlivyokuwa mnamlipa kagenzi ni mdogo sana ndio maana alirubuniwa kwa vipande 150 vya elfu,Jitahidini mumpe hata net ya 2m usafiri binafsi hata Cresta pamoja na mafuta/Dereva,mumpangishie nyumba nzima maeneo ya jirani na Dr Slaa,Boko mkifanya hivyo hatorubunika.
Ajifunze kwa yule wa JKHahahah ameshashiba Mbege na kisusio hata kusimama kiukakamavu hawezi.
Sema ni rais wako wewe,binafsi siko tayari kuongozwa nayeMungu amtie nguvu kamanda kwa rais wetu mtarajiwa
Umeona eeeeeh! Yaani haitakuwa shida hata kidogo kumweka chinipause yake inakaa poa kumlima ngwala na akadondoka mithili ya kifurushi
Inaonekana hajui kazi yake maana mpaka bosi wake anafungua mlango yeye ndo anarukia kuufungua!
frema120
===> Kumbe hawa walinzi huwa wanaokotwa tu? Wanapata wapi mafunzo ya ulinzi hasa ya kulinda viongozi?
===> Na yeye ni bei gani? i.e thamani yake, kilo na nusu au dau lake litaongezeka kidogo?
Halafu mkao huo wa ufunguaji kibaka pale akitaka kumpiga nondo ya kichwa au ngwala slaa wala hamna kipingamizi.Nilishasema Kazi za ulinzi ni fani watu wanasomea sio kila baunsa kilabu cha mbege kwa mbowe anakuwa mlinzi.Huyo mlinzi atakuwa mchaga tu.
Jamaani huu si ndio ubwanyenye Nyerere alioupiga vita. Hata gari ufunguliwe mpango?
Hapana huyu kijana, ana mafunzo ya ulinzi kayapata nchi tatu yupo vizuri, tumtie moyo.
Warning:
Mlinze mpya ajichunge tu kuwa karibu na Josefina, maana kuna wadau wanamuonea wivu Josefina kuliko mwenyemali babu.
La sivyo, asije kusema hatukumpa warning.
Una maana gani?
ha ha ha,kumbe nawe umenote
Hapana huyu kijana, ana mafunzo ya ulinzi kayapata nchi tatu yupo vizuri, tumtie moyo.
Kajaribu kumsogelea Dr.Slaa ndiyo utamjua FBI ni nani!!!