Mwita25
JF-Expert Member
- Apr 15, 2011
- 3,836
- 1,164
mbunge pia ni msanii!hakosei anachokifanya! anapiga miguu yote kama ronaldo!
Kwahiyo wapiga kura wake wote ni wasanii?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbunge pia ni msanii!hakosei anachokifanya! anapiga miguu yote kama ronaldo!
Anasema lazima RTD iwalipe wasanii wa zamani kwa kutumia kazi zao toka enzi za zilipendwa..
RTD wameuza sana kazi za wasanii wa zamani
ruge anaua hii sanaa aeleze hizo mil 200 za pango ya ofic ya wasanii iko wapi na studio ya wasanii kapeleka tht hata komba amedhulumiwa vyombo vya mziki na ruge haya yote yana mwisho atalipa tu ipo siku wasanii wa tht wanateseka ila wanashindwa kutoa malalamiko yao jamaa ni dikteta sana ana control sauti za busara kill music award na sasa ameingia kwenye gospel
Sijaona cha maana zaidi ya muendelezo wa ugomvi wao na Ruge. Huyu jamaa sijui ni lini atajitambua kuwa ni mbunge.
Sijaona cha maana zaidi ya muendelezo wa ugomvi wao na Ruge. Huyu jamaa sijui ni lini atajitambua kuwa ni mbunge.
usingekuja kwenye post inayomuhusu Sugu ningeshangaa sana!una bahati wengi hawakujui,ila kuna siku utaanikwa then hutoamini..na mnavyoangaika kumuhujumu ishu ya nov5 ndio mana jamaa anawatukana
usingekuja kwenye post inayomuhusu sugu ningeshangaa sana!una bahati wengi hawakujui,ila kuna siku utaanikwa then hutoamini..na mnavyoangaika kumuhujumu ishu ya nov5 ndio mana jamaa anawatukana
Anasema sasa hivi yupo Mbeya anajenga barabara KM 25 kiwango cha lami pamoja na taa za barabarani..
Pamoja na mabwawa ya samaki
anajenga au serikali inajenga. Aache kuwadanganya wananchi. Ametoa pesa yake mfukoni.
Sugu na Lema nani ana nafuu au ndio magari mabovu yanavutana