Kwa kherini naelekea home mimi - ofisi za waelewa tunafanya kazi kwa masaa. tukutane asubuhi saa 12 ntakuwa online hii foleni ya sullivan yenu inatuboa, we unga wenyewe robo unaalika watu kibao nyumbani kwako mwee!!! kisa uonekane na wewe unaenda na wakati eeeehh, mikutano hii nchi nyingi iliikataa si TZ zoazoa tu bila hata kufikiria athari zake.
Eti na sisi tumepeleka kilimo kwanza - kipi hicho? kuna kilimo hapa TZ kupeleka kwenye forum ya dunia. tutaishia kujipanga mifoleni tu barabarani hata mitaro tumeshidwa kuzibua aibu.
I hate politics.... uongo uongo tu.