Mlevi na mlokole.

Jaguar

JF-Expert Member
Mar 6, 2011
3,438
1,026
Siku moja mlevi akiwa chakali alikaa siti moja na mlokole.Mlokole akamwangalia kisha akasema,"mpendwa unakwenda motoni".Mlevi alipoambiwa maneno hayo, akapayuka,"dereva nishushe,mi nilifikiri unaenda kariakoo kumbe unaenda motoni!".
 
Au leo siko sawa nini?? Manake kila joke ninayosoma hainifurahishi.!
 
Alivyoshuka tu kwenye daladala, akaingia bar ya jirani, akapiga supu na za baridi mbili kwanza ndo akapata akili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…