Mlevi na mchungaji

Mlevi na mchungaji

MAMMAMIA

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2008
Posts
3,811
Reaction score
1,607
Mchungaji alikuwa anawaongoza kondoo wake. Kati ya waliokuwepo kanisani ni mzee mmoja mlevi, kibogoyo, meno yote yametoka kwa gongo. Katika mahubiri yake, mchungaji alitamka.
"Tujiepushe na dhambi. Tukumbuke siku ya hukumu kwani kwa hakikia adhabu ya Bwana ni kubwa. Ni siku ya kilio na kusga meno".
Mlevi kibogoyo akasema kwa sauti:
"Bwana Asifiwe. Ole wenu wenye meno, mtakiona".
 
Back
Top Bottom