mlevi kalewa chakali, hata tundu la ufunguo katika mlango haoni anaangaika kuingiza ufunguo afungue mlango.Trafiki kasimama pembeni anamwangalia mlevi huyu! hatimaye anamfuata na kumshika bega, anamwambia "hebu suburi kidogo bwana,unataka kuniambia una mpango wa kuendesha gari katika hali hii?" Jamaa akageuka, akamwangalia askari yule juu mpka chini, kisha akamwambia " Huna akili nini wewe yaani wewe unadhani naweza kutembea katika hali hii?