Hossam
JF-Expert Member
- Feb 10, 2011
- 3,538
- 2,155
Hii kampuni kwakweli inaumiza sana wakulima wa tumbaku. Tangu April mwaka huu ni porojo tu, hawajalipa wakulima waliouza tumbaku yao.
Wakulima kwa mfano Urambo huko Tabora wako hoi sana kifedha. Yaani sasa hivi hawana cha kushika. Wanakopa fedha na wanalipa riba 100% kwa sababu hii kampuni haijalipa fedha za mauzo.
Kinachofanyika Mkwawa Tobacco Leaf ni unyama wa hali ya juu na hasa sio ustaarabu.
Lipeni hela za watu.
Pangu Pakavu
Wakulima kwa mfano Urambo huko Tabora wako hoi sana kifedha. Yaani sasa hivi hawana cha kushika. Wanakopa fedha na wanalipa riba 100% kwa sababu hii kampuni haijalipa fedha za mauzo.
Kinachofanyika Mkwawa Tobacco Leaf ni unyama wa hali ya juu na hasa sio ustaarabu.
Lipeni hela za watu.
Pangu Pakavu