AFRIKAN GUY
Member
- Jun 26, 2015
- 67
- 74
harakati za mkwawa zilikua ni kukamata himaya moja baada ya nyingine na kuifanya yake. na alizikamata kwa nguvu. inshort alikua mkoloni na na yeye kwa makabila ya jirani. Hakupanga kuacha, mpaka alipokutana na mjerumani.
Tunapozungumzia Mkwawa, mara nyingi tunamwona kama shujaa wa kitaifa kwa sababu ya ujasiri wake katika kupinga Wajerumani.
mkwawa alikua anapigana na wajerumani ili kulinda himaya zake, na sio kulinda taifa. Infact makabila aliyo yaonea, walikua wanafurahia kuona mkwawa anapigana vita inayomgharimu sana, waliomba apigwe. ili wawe huru.
Historia ya Mkwawa inatufundisha kuwa shujaa wa kitaifa si lazima awe mzalendo kwa wote. Wakati mwingine, tunapojivunia mashujaa wetu, tunapaswa kutambua kwamba hadithi yao ina nyuso nyingi, na baadhi ya nyuso hizo zinaweza kuwa za udhalimu na ukandamizaji kwa wengine. Hii ni changamoto kubwa kwa namna tunavyoiandika historia yetu.
Watu waliompa Mkwawa sifa ya ushujaa wa taifa, walimpa baada ya wao kushuhudia ukatili wa mjerumani dhidi yetu. kwa kufanya hivyo, walituaminisha kwamba mkwawa alikua anapigana kumtimua mjerumani tanganyika. kumbe sio. Mkwawa alikua busy kumpiga mjerumani ili aendeleze harakati zake za kuteka himaya moja baada ya nyingine kwa mabavu.
Tunapozungumzia Mkwawa, mara nyingi tunamwona kama shujaa wa kitaifa kwa sababu ya ujasiri wake katika kupinga Wajerumani.
mkwawa alikua anapigana na wajerumani ili kulinda himaya zake, na sio kulinda taifa. Infact makabila aliyo yaonea, walikua wanafurahia kuona mkwawa anapigana vita inayomgharimu sana, waliomba apigwe. ili wawe huru.
Historia ya Mkwawa inatufundisha kuwa shujaa wa kitaifa si lazima awe mzalendo kwa wote. Wakati mwingine, tunapojivunia mashujaa wetu, tunapaswa kutambua kwamba hadithi yao ina nyuso nyingi, na baadhi ya nyuso hizo zinaweza kuwa za udhalimu na ukandamizaji kwa wengine. Hii ni changamoto kubwa kwa namna tunavyoiandika historia yetu.
Watu waliompa Mkwawa sifa ya ushujaa wa taifa, walimpa baada ya wao kushuhudia ukatili wa mjerumani dhidi yetu. kwa kufanya hivyo, walituaminisha kwamba mkwawa alikua anapigana kumtimua mjerumani tanganyika. kumbe sio. Mkwawa alikua busy kumpiga mjerumani ili aendeleze harakati zake za kuteka himaya moja baada ya nyingine kwa mabavu.