Mkwara wangu wakutafuna nyembe

Mkwara wangu wakutafuna nyembe

secretarybird umemuona role model wako😃😃
Mi mwenyewe Jana wakati nikiwa kwenye basi naelekea nyumbani nilikuwa naposti humu JF, kuangalia nyuma nikamwana jamaa mmoja anaangalia jinsi nilivyokuwa nasifia punyeto.

Aisee nikipata hasira nikamwangalia kwa jicho Kali sana hadi akaanza kutetemeke......

NILIMSAMEHE NA HAIKUWA KAWAIDA YANGU.

adriz
 
Mi mwenyewe Jana wakati nikiwa kwenye basi naelekea nyumbani nilikuwa naposti humu JF, kuangalia nyuma nikamwana jamaa mmoja anaangalia jinsi nilivyokuwa nasifia punyeto.

Aisee nikipata hasira nikamwangia kwa jicho Kali sana hadi akaanza kutetemeke......

NILIMSAMEHE NA HAIKUWA KAWAIDA YANGU.

adriz
Kumbe unasifiaga punyeto
 
Unameza nyembe hiyo ni katoo ya kitambo sana nikiwa najifunza kitaa

Ila kuna mkwara siku hizi wa kumeza sindano na kuikunja simu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom