Zamaulid
JF-Expert Member
- May 25, 2009
- 18,656
- 13,481
check mkakati wa uda!!!!watatoka na mabasi kama ifuatavyo!
- mabasi maalumu ya kubeba wanafunzi
- kutakuwa na mabasi maalumu ya kubeba wanawake pekee yatakayojulikana kwa jina la Malaika eti lengo ni kuwaepusha wanawake na vikumbo vya wanaume!!
- mabasi ya daraja maalum ambayo yatatoa huduma kwa watu wasiotaka kutumia usafiri wa umma ambayo yatakuwa na kiyoyozi, huduma mbalimbali ikiwa ni pamoja na kusoma magazeti, vinywaji baridi
- mabasi mengine maalumu kwa ajili ya kukodisha kwa taasisi mbalimbali za umma na binafsi ambazo zinataka kubana matumizi ya usafiri kwa wafanyakazi