jamani hawa UDA wana tutaka nini wanaume!!!nimwache wife apande gari mi niendelee kusubiri!!usalama wake huko anakoenda itakuwaje!!!!
check mkakati wa uda!!!!watatoka na mabasi kama ifuatavyo!
- mabasi maalumu ya kubeba wanafunzi
- kutakuwa na mabasi maalumu ya kubeba wanawake pekee yatakayojulikana kwa jina la Malaika eti lengo ni kuwaepusha wanawake na vikumbo vya wanaume!!
- mabasi ya daraja maalum ambayo yatatoa huduma kwa watu wasiotaka kutumia usafiri wa umma ambayo yatakuwa na kiyoyozi, huduma mbalimbali ikiwa ni pamoja na kusoma magazeti, vinywaji baridi
- mabasi mengine maalumu kwa ajili ya kukodisha kwa taasisi mbalimbali za umma na binafsi ambazo zinataka kubana matumizi ya usafiri kwa wafanyakazi
jamani hawa UDA wana tutaka nini wanaume!!!nimwache wife apande gari mi niendelee kusubiri!!usalama wake huko anakoenda itakuwaje!!!![/QUOTE]
Hahahahaha! Tunafungia CCTV kwenye mabasi ya akina mama; wanumme wote wenye wake wasafirio humo wanakuwa linked kupitia simu zao kuona yote yanayojiri katika bus.....
aaaah!!kwa staili hiyo mtanipata!jamani hawa UDA wana tutaka nini wanaume!!!nimwache wife apande gari mi niendelee kusubiri!!usalama wake huko anakoenda itakuwaje!!!![/QUOTE]
Hahahahaha! Tunafungia CCTV kwenye mabasi ya akina mama; wanumme wote wenye wake wasafirio humo wanakuwa linked kupitia simu zao kuona yote yanayojiri katika bus.....
kwa maana hiyo sijui kutakuwa na ma bar maid humo humo!!
- mabasi ya daraja maalum ambayo yatatoa huduma kwa watu wasiotaka kutumia usafiri wa umma ambayo yatakuwa na kiyoyozi, huduma mbalimbali ikiwa ni pamoja na kusoma magazeti, vinywaji baridi
check mkakati wa uda!!!!watatoka na mabasi kama ifuatavyo!
- mabasi maalumu ya kubeba wanafunzi
- kutakuwa na mabasi maalumu ya kubeba wanawake pekee yatakayojulikana kwa jina la Malaika eti lengo ni kuwaepusha wanawake na vikumbo vya wanaume!!
- mabasi ya daraja maalum ambayo yatatoa huduma kwa watu wasiotaka kutumia usafiri wa umma ambayo yatakuwa na kiyoyozi, huduma mbalimbali ikiwa ni pamoja na kusoma magazeti, vinywaji baridi
- mabasi mengine maalumu kwa ajili ya kukodisha kwa taasisi mbalimbali za umma na binafsi ambazo zinataka kubana matumizi ya usafiri kwa wafanyakazi
Vibabu je?
Maana kuna wanawake wana ubavu, nishawahi kupata kichapo cha mbwa koko kutoka kwa mwanamke nilipookuwa form 2. Sisahau hili.
Wanawake wana ubavu. Hao jamaa wana lao.