Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
- Thread starter
- #121
Bado nipo kwenye mazungumzo nao kaka. Nitawapa mrejesho soon.Hili suala lako limeishia wapi !? Kuna lolote umeambulia...? Tunaomba mrejesho
Bado nipo kwenye mazungumzo nao kaka. Nitawapa mrejesho soon.Hili suala lako limeishia wapi !? Kuna lolote umeambulia...? Tunaomba mrejesho
Sio kila homa ni Malaria. Every problem has its own unique solutionOsama hawakumuingia kwa staili hiyo!
Yes I thought the same thingwaliogopa siri zao kuvuja maana ilikuwa na siri nzito.
Ni hatari sana kaka mkubwaKwanini waongee mara ya pili? Ulimwengu/Himaya ya wanaume hutawaliwa na ukimya wa kuogofya
Sawa mzee babaKuna siri kubwa sana hapo mzee kuliko uhai wa hao watu
The Russians are no jokeKGB baba lao
KGB zamani sass Wana FSB (ФСБ).Tuanchojuwa KGB hawana lelema, hawarembi, ukileta za kijinga wanajibu kinyama...
Sahihi kabisaKGB zamani sass Wana FSB (ФСБ).
Sahihi kabisa
Asante na wewe pia kwa kusoma makala hiziAsante kwa kutuhabarisha kwa makala zako, zidi kutuelimisha.
KGB world-class assassins were coldhearted and remorseless.Nimependa sana ukatili wa Urusi.