Kambaku mimi na ugalatiq wapi na wapi asee. Mimi sina ushabiki maandazi na sina ugalatia wowote nawachukia tu wapenda vitaPia usipowasahau wagalatia uchwara hearly, Kambaku, Sir John Deere and 100 others zitto junior nao wachukue nakala.
Marekani anaomba msaada kutoka china 🤣Oya wewe mgalatia uchwara acha vituko jamvini😅🤣😂
Kwa njaa ya Bongo, mtu anakuuza hata kwa elfu 50Huwezi kupigana na tajiri wakati unajijua wewe ni maskini lazima atakushinda tu
Hata angekuwa mimi ndo muiran unipe mfano milioni moja dollar eti nionyeshe wapi kiongozi wangu alipo nitaonyesha tu uzalendo hulishi watoto wangu au wazazi wangu kuna uwezekano nikawa mzalendo nikafia vitani zawadi yangu ikabaki kusifiwa kwenye mitandao ya kijamii wakati uko nyuma wanangu watabaki wanaangaika au wazazi wangu
Uzalendo tuachie malaika tu na majini
Kuna hatari ya kuwa double agents,wawaondoe tu hao nguwatwangwe
Apewe bikira 144 kabisa akiwa na kiburi chakeAli Larijani 67, katibu mkuu wa usalama wa taifa Iran kauliwa leo na makombora ya Israel Jijini Tehran.
Ni wiki iliyopita tu alikuwa akizunguka mitaa ya Tehran kwa mbwembwe akiwadhihaki Trump na Netanyahu wawe makini karibuni watakuwa eliminated.
Badala yake leo kawaishwa faster kuzimu.
Marching through the streets of Tehran, in an attempted display of strength, the security chief dismissed the Israeli-US attacks on the capital as being 'out of desperation'.
'These attacks are out of fear, out of desperation. One who is strong wouldn't bomb demonstrations at all. It's clear that it has failed,' Larijani told state TV at the Quds Day march.
Halafu usikute hao anaongozana nao kwenye picha akidhani ni salama kumbe Mossad.
View attachment 3559039
adriz de mbusii
Mkuu mbona alipigwa bomu siku ile ile ya maandamano so alijua tu atakufa. Maana ukishajitokeza wazi si obvious unakua tracked kuanzia uliporudi hadi ulipolala.
But he took the ultimate sacrifice kama to Mkwawa au Patrice lumumba hawakukimbia nchi ila waliuwawa na wavamizi.
Mimi hata 500 nakuuza kabisa 😀😃😄Kwa njaa ya Bongo, mtu anakuuza hata kwa elfu 50
Marekani anaomba msaada kutoka china 🤣
Alijificha wapi? Si alikuwepo kwenye maandamano ya wazi. Na hata kauwawa kwenye ofisi sio handaki. He wasn't a cowardHa ha ha... Asingekuwa anatembea na walinzi na asingekuwa anajificha. Mnajidanganya sana.
Alijificha wapi? Si alikuwepo kwenye maandamano ya wazi. Na hata kauwawa kwenye ofisi sio handaki. He wasn't a coward
Alijificha wapi? Si alikuwepo kwenye maandamano ya wazi. Na hata kauwawa kwenye ofisi sio handaki. He wasn't a coward
Kwani hujui vita ishamchanganya huyo. Hajui hata analoongea wakati mwengine🤣